Mkuu unadhani utapata bila kutoa chochote kitu utapata? Kwa hali ya Tz yetu utaishia kuhesabu ofice za watu kwakufanya Interview, japo sikushauri utoe chochote kitu ili ununue haki yako
Mkuu unadhani utapata bila kutoa chochote kitu utapata? Kwa hali ya Tz yetu utaishia kuhesabu ofice za watu kwakufanya Interview, japo sikushauri utoe chochote kitu ili ununue haki yako