VETA wanatoa kozi mbalimbali za muda mfupi na za muda mrefu kulingana na mahitaji ya mtu husika

VETA wanatoa kozi mbalimbali za muda mfupi na za muda mrefu kulingana na mahitaji ya mtu husika

plumber hydrogen

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2022
Posts
881
Reaction score
1,537
Baadhi ya watu wamekuwa wakiuliza kuhusu Veta na jinsi gani wana toa elimu au wengine wana amini veta ni sehemu ya watu walio feli.

Veta wanatoa kozi mbali za mda mfupi na za mda mrefu kulingana na maitaji ya mtu husika.

Kuhusu kozi za mda mrefu zipo katika level 1, 2 na ya 3.

Masomo yanayo patikana katika level 1&2 ni:
  • Fani husika
  • Technical drawing
  • Entrepreneurship
  • Math
  • English for enginnerng
  • Computer
  • Engineering scince
  • Life skills
Masomo yanayo patikana level 3

Fani husika:
  • Computer
  • Math
  • English
  • Technical drawing
Kwa mwaka wa kwanza na wa pili utasoma masomo nane na uta yafanyia mtihani mwaka wa mwisho na ukifahuru yote uta jiunga na ngazi ya tatu nayo ukifahuru masomo yote matano uta amua uendelee kusoma diploma ya engineering au la.

Hipo hivi mtu aliye toka Veta mfano kasoma plumbing,umeme n.k mpaka level ya tatu na aka fahuru basi ataitajika d mbili za cheti cha form aijalishi ni za art au scince na cheti cha level 3 kutoka Veta kusoma diploma ya fani husika.
 
Mimi naulizia ufundi simu hiyo course inapatikana chang'ombe veta pale?
 
Pia akimaliza level3 anaweza kusomea ualimu wa veta mwaka mmoja chuo kipo Morogoro na matawi yapo veta kanda(ila utasoma online kwa wale wa kanda),akimaliza huo ualimu ataweza kufundisha level 1&2 basi.
 
Back
Top Bottom