papachueta
Member
- Mar 11, 2013
- 25
- 6
Jamani heshima yenu wakubwa nimemaliza sx matokeo bado lkn nna imani ntafaulu lkn naombeni ushauri ipi kati ya mambo haya mawili utanishauri mimi kama mdogo wako nikasome veternary medicine au phamarcy? Shukrani kwenu