Mwambieni huyo jamaa kama anataka kufa kwa ajili ya kupata muhemuko,arejee kifo cha aliyekuwa raisi wa Naigeria Sani Abacha na aliyekuwa seneta wa Makueni Mutula Kilonzo,mihemuko ya kutumia viagara imewapeleka kwa Mungu ASAP,na hao wamejulikana sababu ni watu maarufu ,lakini wengi wamekufa kutokana na kutumia viagara