Viambatanishi hivi navipataje? NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB

Viambatanishi hivi navipataje? NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB

Elite_man

Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
18
Reaction score
25
Habari wakuu,

Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti.

Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB

Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate wa 2024?? Msaada wakuu.

Deadline ni kesho na nimepewa siku moja tu.
 
Habari wakuu,
Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti.
Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB
Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate wa 2024?? Msaada wakuu.
Hongera mkuu kwa kupata kazi
1. NSSF number - Nenda ofisi za NSSD utapata chap, cha msingi uwe na namba ya NIDA
2. Police Clearance - Mwajiri wako anatakiwa akupe barua ya kukutambulisha Police na kusema kuwa anawaomba wakufanyie clearance check, ndani ya siku moja zoezi linaisha. Majibu yatatumwa kwa Mwajiri wako. Ingawaje nimesikia kuna mfumo wa online, Just visit nearest police post for more information.
3. Barua ya HESLB - Hii hata sijui kwa nini wamekuomba. Wao wanatakiwa wa submit your college/University reg number to HESLB, then HESLB watatuma barua kwa mwajiri wako kuonesha status yako ya deni la mkopo (kama unadaiwa au la)

Kila la heri mkuu kwenye ajira mpya!
 
Habari wakuu,
Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti.
Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB
Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate wa 2024?? Msaada wakuu.
1. Police clearance: ingia kwenye website ya jeshi la polisi,jaza taarifa zako huko,utapewa control number,lipa,download form zako kisha nenda nazo polisi (Forensic Department),itategemea uko mkoa gani. Kwa hapa Dsm nenda chap pale ofisi za wizara ya mambo ya ndani posta ukiwa na hizo form zako. Ndani ya week utakuwa umepata hiyo barua. Kama uko mkoa mwingine fatilia ni wapi unaweza kuzipata ila utaratibu ni huo.

2. NSSF: Kwa ufahamu wangu,hao waajiri wako wanapaswa kukupa barua ya utambulisho,ikiwa imejazwa taarifa zako muhimu, unaipeleka ofisi za NSSF za wilaya unayoishi. Mengine yanaendelea baada ya hapo.
 
Hongera mkuu kwa kupata kazi
1. NSSF number - Nenda ofisi za NSSD utapata chap, cha msingi uwe na namba ya NIDA
2. Police Clearance - Mwajiri wako anatakiwa akupe barua ya kukutambulisha Police na kusema kuwa anawaomba wakufanyie clearance check, ndani ya siku moja zoezi linaisha. Majibu yatatumwa kwa Mwajiri wako. Ingawaje nimesikia kuna mfumo wa online, Just visit nearest police post for more information.
3. Barua ya HESLB - Hii hata sijui kwa nini wamekuomba. Wao wanatakiwa wa submit your college/University reg number to HESLB, then HESLB watatuma barua kwa mwajiri wako kuonesha status yako ya deni la mkopo (kama unadaiwa au la)

Kila la heri mkuu kwenye ajira mpya!
Fata huu ushauri

Na Kama upo DSM kila kitu kitu utapata
 
Hongera mkuu kwa kupata kazi
1. NSSF number - Nenda ofisi za NSSD utapata chap, cha msingi uwe na namba ya NIDA
2. Police Clearance - Mwajiri wako anatakiwa akupe barua ya kukutambulisha Police na kusema kuwa anawaomba wakufanyie clearance check, ndani ya siku moja zoezi linaisha. Majibu yatatumwa kwa Mwajiri wako. Ingawaje nimesikia kuna mfumo wa online, Just visit nearest police post for more information.
3. Barua ya HESLB - Hii hata sijui kwa nini wamekuomba. Wao wanatakiwa wa submit your college/University reg number to HESLB, then HESLB watatuma barua kwa mwajiri wako kuonesha status yako ya deni la mkopo (kama unadaiwa au la)

Kila la heri mkuu kwenye ajira mpya!
Yes,kuna mfumo wa taarifa online. Unajaza form then unazipeleka.
 
1. Police clearance: ingia kwenye website ya jeshi la polisi,jaza taarifa zako huko,utapewa control number,lipa,download form zako kisha nenda nazo polisi (Forensic Department),itategemea uko mkoa gani. Kwa hapa Dsm nenda chap pale ofisi za wizara ya mambo ya ndani posta ukiwa na hizo form zako. Ndani ya week utakuwa umepata hiyo barua. Kama uko mkoa mwingine fatilia ni wapi unaweza kuzipata ila utaratibu ni huo.

2. NSSF: Kwa ufahamu wangu,hao waajiri wako wanapaswa kukupa barua ya utambulisho,ikiwa imejazwa taarifa zako muhimu, unaipeleka ofisi za NSSF za wilaya unayoishi. Mengine yanaendelea baada ya hapo.


Nssf aende ofisini kwao akiwa na nida atapata Kwa haraka
 
Habari wakuu,
Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti.
Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB
Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate wa 2024?? Msaada wakuu.
Police clearance nenda central police kbsan,
Beba nida na vidole
 
Habari wakuu,
Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti.
Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB
Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate wa 2024?? Msaada wakuu.
Nenda NSSF,Nend Police na Uende HESLB uwaambie kama Hivyo.
 
Asante mkuu kwa clarification nzuri...nashukuru sana
Hongera mkuu kwa kupata kazi
1. NSSF number - Nenda ofisi za NSSD utapata chap, cha msingi uwe na namba ya NIDA
2. Police Clearance - Mwajiri wako anatakiwa akupe barua ya kukutambulisha Police na kusema kuwa anawaomba wakufanyie clearance check, ndani ya siku moja zoezi linaisha. Majibu yatatumwa kwa Mwajiri wako. Ingawaje nimesikia kuna mfumo wa online, Just visit nearest police post for more information.
3. Barua ya HESLB - Hii hata sijui kwa nini wamekuomba. Wao wanatakiwa wa submit your college/University reg number to HESLB, then HESLB watatuma barua kwa mwajiri wako kuonesha status yako ya deni la mkopo (kama unadaiwa au la)

Kila la heri mkuu kwenye ajira mpya!
 
Hongera mkuu kwa kupata kazi
1. NSSF number - Nenda ofisi za NSSD utapata chap, cha msingi uwe na namba ya NIDA
2. Police Clearance - Mwajiri wako anatakiwa akupe barua ya kukutambulisha Police na kusema kuwa anawaomba wakufanyie clearance check, ndani ya siku moja zoezi linaisha. Majibu yatatumwa kwa Mwajiri wako. Ingawaje nimesikia kuna mfumo wa online, Just visit nearest police post for more information.
3. Barua ya HESLB - Hii hata sijui kwa nini wamekuomba. Wao wanatakiwa wa submit your college/University reg number to HESLB, then HESLB watatuma barua kwa mwajiri wako kuonesha status yako ya deni la mkopo (kama unadaiwa au la)

Kila la heri mkuu kwenye ajira mpya!
Umeeleza vyema sana kwa kuongezea
Heslb hata chuo alicho malizia masomo huwa wanatoa nenda KWA burser or office ya mikopo chuoni uta printiwa
 
Habari wakuu,
Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti.
Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB
Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate wa 2024?? Msaada wakuu.

Deadline ni kesho na nimepewa siku moja tu.
Anyway, siku hizi NSSF wanapokea wananchama wowote tu hata wale ambao siyo waajiriwa, nenda ofisi zozote za NSSF ujiandikishe. Police report pita kituo cha polisi mahali ulipo wakujazie. Heslb sasa hapo mtihani kama uko mbali na kanda au makao makuu!
 
Kama upo DSM police clearance form kuipata, chukua barua kwenye ofisi ya serikali ya mtaa uliopo na uipeleke pale posta ya zamani kwenye ofisi za wizara ya mambo ya ndani posta karibu na Exim Bank
 
Back
Top Bottom