mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 978
- 1,766
Jamani nipo kijijini maporini huku natumia opera mini.
Naombeni mnijulishe ni vitu gani niviandae ambavyo vimeambatanishwa kwenye tangazo la ajira?
Je,barua ya kujitolea nayo ni muhimu?
Naombeni mnijulishe ni vitu gani niviandae ambavyo vimeambatanishwa kwenye tangazo la ajira?
Je,barua ya kujitolea nayo ni muhimu?