pinkmousse
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 227
- 88
Habari zenyu ndugu zangu,eti kwenye viapo vyetu vya ndoa hamuoni busara wakiongeza maneno yafuatayo: "sitaacha usiku upite nikiwa na hasira juu yako". Nimeona tu kwamba mara nyingi wanandoa mkilala mmekasirikiana bila kusameheana kunazidisha hasira na mipasuko kuimarika na wakati mwingine kupelekea ndoa kuvunjika. Wenzangu mnasemaje?,nawaza tu kwa sauti kuu..weekend njema!