Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
VIASHIRIA VYA HATARI KWA MWANAMKE MJAMZITO.
Hivi ni viashiria au dalili ambazo akiwa navyo mjamzito ni hatari kwake na kwa mtoto.Kwani huenda vikasabisha kifo kwa mama au mtoto au wote wawili.
Pia huenda vikaathiri maendeleo ya ukuaji wa mtoto tumboni au akazaliwa kabla ya wakati au kuzaliwa na mapungufu.
Vifuatavyo ni baadhi ya viashiria hivyo:
1.Kutokwa na damu ukeni.
2.Kuvimba miguu.
3.Kupatwa na Kifafa cha Uzazi.
4.Upungufu mkubwa wa damu.
5.Maumivu makali ya kichwa na kizunguzungu.
6.Mtoto kutocheza.
7.Kutosikika vizuri au kutosikika kabisa kwa mapigo ya moyo ya mtoto.
Ikikutokea mojawapo kati hizo ishara na wewe una mimba nenda haraka Hospitali kamuone Daktari.
Hivi ni viashiria au dalili ambazo akiwa navyo mjamzito ni hatari kwake na kwa mtoto.Kwani huenda vikasabisha kifo kwa mama au mtoto au wote wawili.
Pia huenda vikaathiri maendeleo ya ukuaji wa mtoto tumboni au akazaliwa kabla ya wakati au kuzaliwa na mapungufu.
Vifuatavyo ni baadhi ya viashiria hivyo:
1.Kutokwa na damu ukeni.
2.Kuvimba miguu.
3.Kupatwa na Kifafa cha Uzazi.
4.Upungufu mkubwa wa damu.
5.Maumivu makali ya kichwa na kizunguzungu.
6.Mtoto kutocheza.
7.Kutosikika vizuri au kutosikika kabisa kwa mapigo ya moyo ya mtoto.
Ikikutokea mojawapo kati hizo ishara na wewe una mimba nenda haraka Hospitali kamuone Daktari.