Viashiria Vya Watu Wenye Upeo Mkubwa

Viashiria Vya Watu Wenye Upeo Mkubwa

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241120_145218_Google.jpg


Wako poa sana hawana majivuno, wanajiwekea mkazo katika kujifunza na sio kujigamba kwa upeo wao.

Wanatumia uzoefu kuyaangalia mambo na kuyachambua pia ili wafikie pale wanapopataka.

Hawashughulishwi na mambo madogo madogo ila wanabakia katika lengo lao husika

Wanafikiria kabla ya kutenda, wanatenga mda wa kutosha kutafakari mambo kabla ya kuyatatua.

Wanarahisisha mambo makubwa kuwa madogo ambayo yanaeleweka na rahisi kufanyiwa kazi

Huwa wanachagua maneno ya kusema mahala sahihi na kwa wakati sahihi

Ni watu wenye njaa na maarifa na kujifunza kila siku

Wanajifunza kwa kuangalia,huwa angalia wengine wanafanyaje kisha huwa na upeo mkubwa wa kufanya vizur zaidi

Hukifanyia kazi wanacho jifunza, tofauti na sisi wengine tunajifunza mambo lkn hatuyafanyii kazi

Huwa na tabia ya kuuliza maswali mengi ili wajifunze zaidi, sasa wewe mtoto wako akiwa anakuuliza maswali mengi unakereka,unaua kipaji cha mwanao huenda ana upeo mkubwa wa mambo

NI hayo tu!
 
Wakati mwingine wanatafuta njia mbadala katika mambo yao mfano kujichua pale wanapokuwa wamefulia au kukiwa hamna mademu karibu, wanafumuliwa marinda/wanaruhusu kuingiliwa Kwa mlango wa nyuma wanapokuwa kwenye siku zao ili wasipate mimba (Kwa wanawake).
 
Back
Top Bottom