MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Hahaha, wewe mbingu utaisikia tu!
Bora maandazi na skonzi ni kavu unakuta ni muuza matunda yale ya kukata anakumenyea papaiBora sukari itachemkia kwenye chai.
Anakufungia maandazi au skonzi [emoji1784][emoji1784]
Lkn vinaendana na sura yako mbona! Yaani km wale wale tuHalafu mmepatia kweli yani hasa hutwo twa manyoya wavaaji wake wana mashauzi balaa ukute kafuga na kucha sasa ukipishana nae km kitoto cha bata kinaogelea kwenye dimbwi la tope
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungenijua sura yangu ungebarikiwa sana nakuhakikishia hilo
Kuna nini bbyUngenijua sura yangu ungebarikiwa sana nakuhakikishia hilo
Ni mtizamo wako sipingani nao
Dah nimejua kuchekaπ€£πNjoo utupie na wewe ya kwako.View attachment 1407672View attachment 1407673View attachment 1407674
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hii kweli tupuπ€£π€£
Hahaahaaaa!!!! Jaman ππππ hich nach kiatumie hua sipandi bajaji wala boda boda ...we niitie tu uber View attachment 1407389
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikawa najiuliza mbona kama kuna kauhalisia ivi[emoji23][emoji23][emoji23]yaan kila nilkiangalia kiatu kuna picha ya mtu inanijia kichwani[emoji23]
Hawa ni wale baby niunge bando..
[emoji28][emoji28]Hahaahaaaa!!!! Jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hich nach kiatu
π§π΅hatari sana
Tena awe na sim yenye cover la kamdoli, amevaa dela, na brich kichwan yan hapo kaa mbali kabsaaaaa......πππππBinafsi nikiona mwanamke yupo na hivi vitu viwili, alarm ya hatari huwa inalia kichwani [emoji23][emoji23]View attachment 1408292