africanbusiness2019
Member
- Oct 3, 2020
- 18
- 8
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Una kiatu kimoja tu!
hahahahaUna kiatu kimoja tu!
hahahaha
viatu vipo vingi mkuu leo nimeweaka hiyo brand na ni size tofauti tofautiUna kiatu kimoja tu!
😂😂 mkuu sisi kama africanbusiness2019 tunauza vitu kama saa, cheni na viatu pamoja na Jeans za kike na za kiume, na malengo yetu ni kuja kua moja ya brand kubwa hapa bongo i Hope mkuu uta tuunga mkono katika hizi harakatiVijana wakiambiwa kujiajiri basi wameamua kuanza na chochote!
Weka picha za jinsi[emoji23][emoji23] mkuu sisi kama africanbusiness2019 tunauza vitu kama saa, cheni na viatu pamoja na Jeans za kike na za kiume, na malengo yetu ni kuja kua moja ya brand kubwa hapa bongo i Hope mkuu uta tuunga mkono katika hizi harakati
Sawa mkuu i hope One day nitakuja na picha za Jeans sababu naogopa kuchanganya kama nikipost saa basi ziwe saa pekee yake, na siku Niki post jeans zitkua ni jeans pekee yakeWeka picha za jinsi
🤣🤣🤣🤣aiseeSawa mkuu i hope One day nitakuja na picha za Jeans sababu naogopa kuchanganya kama nikipost saa basi ziwe saa pekee yake, na siku Niki post jeans zitkua ni jeans pekee yake
😂😂Icho kiatu ni kikali sana.japo ni hicho kimoja alicho post.
ni mfano wamwanamuziki anaweza toa single kali sana na hiyo single ikauza.uku akiwa anaandaa album nzima sasa.
Naweza kupata namba 11½ - 12?Brand new shoes
Size 36,37, 38, 39, 40
Bei sh 30000
Dar es salam tunakufikishia mpaka mahali ulipo na mikoani tunatuma pia.
Contact 0715621701
View attachment 1601788