VIBAKA/WAHUNi WATINGA STANDARD CHARTERED BANK

VIBAKA/WAHUNi WATINGA STANDARD CHARTERED BANK

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,264
Reaction score
678
Sijui hizi bank zimeingiwa na mdudu gani wamejaza walinzi na makamera kibao lakini hakuna kitu nina mpango wa kwenda kuwashitaki,

Juzi nilidraw hela kutoka kwa teller baada ya hapo nikawa nimekaa na mzigo huo kwenye makochi nasubiri dereva wangu pembeni kulikuwa na vijana wawili sikuweza kuwatambua vizuri, nilitoka nje wakati dereva alipokuja kunichukua then nikaingia kwenye gari, baada ya kutoka na gari km 1 kujiangalia nikakuta bahasha moja yenye laki 4 sina, nikamwabia dereva arudishe gari scb kufika vijana waliokuwa wamekaa pembeni hawakuwepo nikariport kwa Branch Manager akawapigia watu wa IT(wa kumonitor camera). Nilisubili kwa muda wa 1.45 B.Manager akaniambia nirudi officn watanibigia, nilikataa baada nikasema ngoja nienda kazin

Baada ya saa 1 tena nipo kazi ndo nikapigiwa simu wakasema hawakuona kitu eti nilipokaa sikuacha kitu chochote

Mpaka sasa najiuliza maswali yafuatayo

1. Je kuna watu bank wanashirikiana na vibaka?
2. Nini matumizi ya camera za bank?
3. Nataka kuwashitaki nifanyeje?
4. Makochi yaloyoko bank yanaleta vibaka? maana mtu anakaa muda mrefu akiwa na nia mbaya
 
Pole sana,
takwimu za NGO's ,REPOA etc zimeonyesha watanzania hasa wa DSM hawa aminiani kwa 87% so jifunze kuwa chonjo muda wote.
tafuta mwanasheria mzuri(ukipata mkenya poa zaidi)atakujengea hoja,then benk watakupa compensation.
POLE
 
Sijui hizi bank zimeingiwa na mdudu gani wamejaza walinzi na makamera kibao lakini hakuna kitu nina mpango wa kwenda kuwashitaki,

Juzi nilidraw hela kutoka kwa teller baada ya hapo nikawa nimekaa na mzigo huo kwenye makochi nasubiri dereva wangu pembeni kulikuwa na vijana wawili sikuweza kuwatambua vizuri, nilitoka nje wakati dereva alipokuja kunichukua then nikaingia kwenye gari, baada ya kutoka na gari km 1 kujiangalia nikakuta bahasha moja yenye laki 4 sina, nikamwabia dereva arudishe gari scb kufika vijana waliokuwa wamekaa pembeni hawakuwepo nikariport kwa Branch Manager akawapigia watu wa IT(wa kumonitor camera). Nilisubili kwa muda wa 1.45 B.Manager akaniambia nirudi officn watanibigia, nilikataa baada nikasema ngoja nienda kazin

Baada ya saa 1 tena nipo kazi ndo nikapigiwa simu wakasema hawakuona kitu eti nilipokaa sikuacha kitu chochote

Mpaka sasa najiuliza maswali yafuatayo

1. Je kuna watu bank wanashirikiana na vibaka?
2. Nini matumizi ya camera za bank?
3. Nataka kuwashitaki nifanyeje?
4. Makochi yaloyoko bank yanaleta vibaka? maana mtu anakaa muda mrefu akiwa na nia mbaya

Labda ni kutimiza masharti ya Benki Kuu; siyo lazima zifanye kazi
 
Inauma sana kuona kwamba sisi watanzania hatuna haki yeyote katika kuishi kwenye nchi yetu. Hili linaongezewa na ukweli kwamba kwenye sehemu nyingi ambako sekta binafsi imeshamiri kama mabenki kuna kuwa na wageni katika nafasi za uongozi sio ajabu hata huyo branch manager tuliyetegemea afanye kazi ya kuwapata vibaka hao hakushugulika akiwa na nia ya kutatua tatizo ambalo ni wizi. Alichofanya ni kuhakikisha kwamba hakuna sheria inayomlazimisha kupitia picha zinazopigwa ndani ya benki kwa ombi la mteja. Wizi mtupu..... Kwa ushauri kashitaki polisi nahisi wanaweza wakalazimisha kupatikana kwa hizo picha. Angalizo polisi pia inabidi kukata kitu kidogo na kupoteza muda hivyo Great Thinker Upime
 
Pole sana,
takwimu za NGO's ,REPOA etc zimeonyesha watanzania hasa wa DSM hawa aminiani kwa 87% so jifunze kuwa chonjo muda wote.
tafuta mwanasheria mzuri(ukipata mkenya poa zaidi)atakujengea hoja,then benk watakupa compensation.
POLE

Mkuu umetoa ushauri mzuri lakini naona kwenye posti zako nyingi humu ndani umekuwa ni mtu wa kupandikiza mbegu hatari sana kwa wabongo kutojiamini.. Unaweza kufafanua kwanini unadhani hao wanasheria wa ki-Kenya ni bora zaidi ya wanasheria wazalendo? hii kweli mpya.....

Natanguliza samahani kama nitakua sijakutendea haki...:A S 13:
 
Mkuu umetoa ushauri mzuri lakini naona kwenye posti zako nyingi humu ndani umekuwa ni mtu wa kupandikiza mbegu hatari sana kwa wabongo kutojiamini.. Unaweza kufafanua kwanini unadhani hao wanasheria wa ki-Kenya ni bora zaidi ya wanasheria wazalendo? hii kweli mpya.....

Natanguliza samahani kama nitakua sijakutendea haki...:A S 13:
Mkuu mimi ni mtanzania na mzalendo wa dhati,siwapendi wakenya,ila Ninawapa Respect kubwa ktk masuala ya kuheshimu pesa = which equates to financial output.Nimefanya nao kazi,nimeishi nao(nje ya kenya-ulaya) wao wanathamini kazi,siyo utu.sisi hatuthamini kazi .
kwa muathirika wa huu wizi,
akipata Lawyer Mkenya atafanya assesment na kumpa jibu palepale kuwa anaweza kushinda hiyo case au la(hatompotezea muda wala pesa)
Akipata lawyer Mtz,atampa moyo wakati hana uhakika wa kushinda kesi then atapotezewa muda na longolongo kibao.
mwisho kabisa angalia service industry,consultants in kenya na Tanzania jibu utalipata,a simple example ni Tourism and hospitality industry.
 
Pole sana,
takwimu za NGO's ,REPOA etc zimeonyesha watanzania hasa wa DSM hawa aminiani kwa 87% so jifunze kuwa chonjo muda wote.
tafuta mwanasheria mzuri(ukipata mkenya poa zaidi)atakujengea hoja,then benk watakupa compensation.
POLE

Mkuu kwanini mkenya?
 
Back
Top Bottom