J jackderick Member Joined Dec 31, 2012 Posts 29 Reaction score 9 Aug 20, 2014 #1 Habar wadau Ninataka kufungua kampuni itakayo dili na kufanya matangazo hapa nchini .sasa nauliza wadau kama mnafahamu Kuna vibali vyovyote nitatakiwa Kuwa Navyo nje ya vibali vya kufungua kampuni?
Habar wadau Ninataka kufungua kampuni itakayo dili na kufanya matangazo hapa nchini .sasa nauliza wadau kama mnafahamu Kuna vibali vyovyote nitatakiwa Kuwa Navyo nje ya vibali vya kufungua kampuni?
M MWANANCHI MUSOMMMA JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 328 Reaction score 50 Aug 20, 2014 #2 Mkuu kuwa ba subira kwani wenyewe wanakuja labda kama unahitaji partner tuwasiliane kwa pm hapa jamii....
Mkuu kuwa ba subira kwani wenyewe wanakuja labda kama unahitaji partner tuwasiliane kwa pm hapa jamii....
serio JF-Expert Member Joined Apr 15, 2011 Posts 7,340 Reaction score 4,734 Aug 21, 2014 #3 Kwani advertising ya Dar Ina regulatory authority