L lemky Member Joined Dec 31, 2013 Posts 80 Reaction score 31 Sep 22, 2018 #1 Habarini viongozi ??? Naombeni kuuliza kama kuna ulazima wa kutafuta kibali cha ujenzi katika viwanya vya skwata kabla havijapimwa ?,,
Habarini viongozi ??? Naombeni kuuliza kama kuna ulazima wa kutafuta kibali cha ujenzi katika viwanya vya skwata kabla havijapimwa ?,,
zegebovu1 JF-Expert Member Joined Nov 20, 2013 Posts 415 Reaction score 135 Oct 26, 2018 #2 na mimi nasubiria majibu
B BEHOLD JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 5,056 Reaction score 10,721 Oct 26, 2018 #3 Kibali kinaendana na planned areas. Sidhani kama utaweza kupata hicho kitu.
Mr. Mwalu JF-Expert Member Joined Feb 4, 2010 Posts 1,057 Reaction score 562 Oct 26, 2018 #4 Nafahamu manispaa ya ubungo na kinondoni wanatoa vibali kwa unplanned areas, kwa manispaa ya ubungo nimeshuhudia wakisimamisha ujenzi na kutwanga fines kwa ujenzi usio navibali kwenye skwata!
Nafahamu manispaa ya ubungo na kinondoni wanatoa vibali kwa unplanned areas, kwa manispaa ya ubungo nimeshuhudia wakisimamisha ujenzi na kutwanga fines kwa ujenzi usio navibali kwenye skwata!