Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wanaitwa mama wachungaji, wengine wataanza kujiita mitumeSafi sana furaha yangu ni kuona kondoo wanapata vichwa vipya vya kuwapiga za uso mpka wachanganyikiwe kabisa.
Tena wanaojiita manabii na mitume wanawahurumia sana , mimi mpango wangu ukikaa vizuri nitajiita masihi kabisa.Wanaitwa mama wachungaji, wengine wataanza kujiita mitume
Oalaa kalooo' 🤣🤣🤣🤣 napenda hicho kicheko huwa nafurahi sanakabla sjadili mada tuanze kwenye hicho kicheko hapo juu
Kuwa makini wanarogana sikuizu. Au na hilo umejipanga nalo 😆Tena wanaojiita manabii na mitume wanawahurumia sana , mimi mpango wangu ukikaa vizuri nitajiita masihi kabisa.
Uchawi wenyewe ni aina pia ya utapeli tu.Kuwa makini wanarogana sikuizu. Au na hilo umejipanga nalo 😆
Shalom,
Tucheke kwanza
"Oalaa kalooo'
Dunia na matukio sasa hivi jamii ya watanzania inashuhudia ongezeko la ma pastor ama wachungaji wanawake ni vibe moja kali sana kwenye social media na wanapenda sana interview zenye maudhui ya mapenzi na kusambaza injili zenye kugusa mapenzi
Tutaona mengi ambayo hayakusemwa kuhusu Bustani ya Eden
Wadiz
Wapo maaskofu piaShalom,
Tucheke kwanza
"Oalaa kalooo'
Dunia na matukio sasa hivi jamii ya watanzania inashuhudia ongezeko la ma pastor ama wachungaji wanawake ni vibe moja kali sana kwenye social media na wanapenda sana interview zenye maudhui ya mapenzi na kusambaza injili zenye kugusa mapenzi
Tutaona mengi ambayo hayakusemwa kuhusu Bustani ya Eden
Wadiz