Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,113
hahahahahaKama password naijua, hamna kibubu hapo!!!
HKama password naijua, hamna kibubu hapo!!!
Karibu sana mkuu.Kama password naijua, hamna kibubu hapo!!!
You cant skip technology my dear.Kweli Mchina kwa fursa hatumuwezi. Yaani baada ya kuona tunaishi kwa Vibubu kaamua kutuletea vya kubonyeza?
Tatizo ni nidhamu ya pesa.Umeona eeeh, Sasa kibubu password ya nini? Hapo si unakuwa unakifungua kilasiku Sasa sijui kitajaa lini?
Kama password naijua, hamna kibubu hapo!!!
Asante kwa wazo zuri nitalifikisha guanghzouTengenezeni na vile vya wale wa vikoba,viwe vina lock mbili au tatu,kwamba watu watatu tuu ndiyo wanaweza kufungua
Kinaweza ndioNikikishushia nyundo ya 5kg kinaweza kuhimili?
Make naweza toka nilikotoka na kiu yangu ya bia
Havina chuma ulete?
Ona jinsi inafanya kazi kwa videoHavina chuma ulete?