Viburudisho vya Dar

Nzoka yihenge

Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
47
Reaction score
31
Viburudisho vya Dar eti mkiwa kwenye mtoko unaitwa Baby sogea hapa!!, mara oohh Baby usinywe hiyo. Baby inamaanisha nini sasa? I was'nt born last night. bora niende kwetu Mwanza ninakoitwa "omungw'ane gemaga hoyi!!!!!!!!!!!
 
hahahhah
"babe na sio baby"
utaitwa sana hivyo , ngoja mshiko uishe ndio utaijua habri yake.
 
Inaonekana dar kuna watoto wengi..!
 
Kuitwa baby kuzuri sana. Lakini kama ni ile bebiii ya changa la macho! Mmhhh.......!!!
 
Hii baby au babe ya bongo ina athari kubwa kwa mfuko wako CHUKUA TAHADHARI !
 
Si wamekuona unatoka mwanza mtani wanajua wewe ni wa kuja tuuu hahahahahah
 
hahahhah
"babe na sio baby"
utaitwa sana hivyo , ngoja mshiko uishe ndio utaijua habri yake.

Tatizo baadhi wanajua wanazinguliwa ila hawakomi..utasikia anaambiwa 'babes leo usiku wapi? halafu babe nimekumiss!!'..basi lizee likisia hayo maneno linajiona kama vile toto kweli, kumbe full kuzinguliwa..ha ha
 
Viburudisho vya Dar eti mkiwa kwenye mtoko unaitwa Baby sogea hapa!!, mara oohh Baby usinywe hiyo. Baby inamaanisha nini sasa? I was'nt born last night. bora niende kwetu Mwanza ninakoitwa "omungw'ane gemaga hoyi!!!!!!!!!!!
Umenifurahisha sana.
 
beb babe baby ohoooooooooooooooooooooo...........!!
ivi viambishi vya beb,honey,dear swetie ....ah sivipend....naona vya uwongo tu....we niite kwa jina langu la ubatizo tu basi....:dance:
 
Tatizo baadhi wanajua wanazinguliwa ila hawakomi..utasikia anaambiwa 'babes leo usiku wapi? halafu babe nimekumiss!!'..basi lizee likisia hayo maneno linajiona kama vile toto kweli, kumbe full kuzinguliwa..ha ha

ndo maana mie ukiniita,
sijui babe/baby , nakwambia....mwenyewe......!!!!!!!!!!
 
ndo maana mie ukiniita,
sijui babe/baby , nakwambia....mwenyewe......!!!!!!!!!!


wewe ningekuita we NANIHIII....mis u jaman...niaje ..mchana ukinidanganya utantambua...
 
beb babe baby ohoooooooooooooooooooooo...........!!
ivi viambishi vya beb,honey,dear swetie ....ah sivipend....naona vya uwongo tu....we niite kwa jina langu la ubatizo tu basi....:dance:

tatizo ni kwamba usipovisema hivi kwa watu wengine,
hata kama ni uwongo,
wallah...unajikuta unapigwa chini!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…