Vibwagizo

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Kwanini kuna vibwagizo vingi sana hujirrudia kwenye nyimbo za Bolingo za wakongomani


Mfano ...Sikusala sikusala mamaa eeeh...mwana yaya kalumula sikusala eeehhh...tintiiitintiii
 
Umeelewa lakini?
Kwani maneno hayo maana yake ni nini? Mimi mtu wa kwanza kuskia anaimba hiko kibwagizo ni awilo longomba, ila nahisi kuna wimbo wa defao pia uko na hiko kibwagizo kama sijakosea.
 
Kwani maneno hayo maana yake ni nini? Mimi mtu wa kwanza kuskia anaimba hiko kibwagizo ni awilo longomba, ila nahisi kuna wimbo wa defao pia uko na hiko kibwagizo kama sijakosea.
Hata madilu
 
Bila kusahau ,,😚😚🤼ndomboloo ndombolo!!,ndombolo! ntiih ,,!!ntiiih;
 
Kwanini kuna vibwagizo vingi sana hujirrudia kwenye nyimbo za Bolingo za wakongomani


Mfano ...Sikusala sikusala mamaa eeeh...mwana yaya kalumula sikusala eeehhh...tintiiitintiii
Siyo bolingo za wakongo man tuu, hata hapa mbona maneno yanarudiarudia kwa kiswahili hujauliza?
Kila siku utasikia..
CCM ni ileileee oooh ni ileileee
Wapinzani wanaisoma nambaaaaa oooh wanaisomaaa...
CCM oyeeee!
Wanarudia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…