Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Umeelewa lakini?Eti tintiiitintiii 😂😂
Kwani maneno hayo maana yake ni nini? Mimi mtu wa kwanza kuskia anaimba hiko kibwagizo ni awilo longomba, ila nahisi kuna wimbo wa defao pia uko na hiko kibwagizo kama sijakosea.Umeelewa lakini?
Hata madiluKwani maneno hayo maana yake ni nini? Mimi mtu wa kwanza kuskia anaimba hiko kibwagizo ni awilo longomba, ila nahisi kuna wimbo wa defao pia uko na hiko kibwagizo kama sijakosea.
Yeah sure, madilu pia aliwahi kuomba hiko kibwagizo... Ni nini maana ya hayo maneno? Labda ukijua maana yake ndio itakua rahisi kujua sababu ya kupendwaHata madilu
Au shamukwale yakopesambongoBila kusahau ,,😚😚🤼ndomboloo ndombolo!!,ndombolo! ntiih ,,!!ntiiih;
Musuku musuku musukumusukuAu shamukwale yakopesambongo
Siyo bolingo za wakongo man tuu, hata hapa mbona maneno yanarudiarudia kwa kiswahili hujauliza?Kwanini kuna vibwagizo vingi sana hujirrudia kwenye nyimbo za Bolingo za wakongomani
Mfano ...Sikusala sikusala mamaa eeeh...mwana yaya kalumula sikusala eeehhh...tintiiitintiii