Vichaa huona nini?

WACHAWI WANAUWEZO MKUBWA SANA WA KITECHNOLOGY YAANI MCHAWI ANAUWEZO WA KUJUA WEWE UNAWAZA NINI KTK KICHWA CHAKO,
Acha kuwapa credit za bure hao wachawi mafara tu!!!! wooote hao wana dhiki tu! kama ni wachawi kweli ivo mbona Mkoloni aliwavuruga mpaka wakatoa nyaa!!! akawauza, akawalimisha, akawatawala mpaka leo hii mnakimbilia kwake kujisalimisha!!

kama kweli waweza roga waende wakaibe kwa ulozi palee Bank kuu!! wawaroge meneja na wafanya kazi wote wabebe hela!! au basi waende kariakooo waibe kidogkidogo mpaka zijae! hao marofa tu!
 
smaki kumbe wewe ni mbumbumbu kwenye ushirikina..[emoji23]
Uchawi haufanyi kazi hivyo una formula zake na miko na taratibu zake kama hujui
 
smaki kumbe wewe ni mbumbumbu kwenye ushirikina..[emoji23]
Uchawi haufanyi kazi hivyo una formula zake na miko na taratibu zake kama hujui
Aaaa! Haaa!! Mkuu mara hii umesahau??! au wamekufanyaje huko ugenini ulikoenda?? sisi wachawi lazima tuwe na sifa kuu ya unafiki ndo siraha yetu kuuubwa tangu zama! ili tubakie salama sisi wachache tu kunako fani ....

.make naona ma-vijana masomi na yasiyo soma hasa ya mbagalla yamevamia fani hii kwa kasii sana! kila mtu leo anataka kuwa Mganga/mchawi/mchungaji ili apige pesa!

Kilingeni tuliwaza na kuwazua !! nanukuu mkuu wetu... ''kila mtu akija huku uchawini!!! Misukule ya kutuchumia na kutwanga dawa Baba tutaipata wapiii?''..sometimes inabidi tuwapotezeee km hkn kitu ivi ...vile!.... ...

vijana ni wabaya sana! wao wanapenda kujaribu kila kitu!! yaani waliwahi nitega pale Stand ya Moro makaburini! kimchezo mchezo tu ivi! hawafai! asinge kuwa chikanga mbona ningekoma!

Mwisho .nakushauri tu Mkuu ukisha soma hii thread ifute/funga faster kichawi,...hapa naweka msisitizo sana!! chonde lengo langu ni ili wasiione hao vijana! watasumbua sana.....

na mie hapa nimeituma kuja kwako kwa nguvu za kichawi hkn mutu awaye yote anaiona, isipokuwa wewe mchawi tuu!.....kure kiringeni kwetu nimeitwaa na kuambiwa nifanye km nilivyofanya poteza! poteza!!

Hayoo ni lazima!! ......sawa!!! leo usiku wa manane lazima tuonane pale Msata kilimani karibu na jeshi nina jambo muhimu haliko sawa na wewe! ..... ntapitia njia ya Bagamoyo kati! safisha njia mapema!
 
Wachawi ni watu waliochanganyikiwa.
 
Kichaa au ukichaa ni hali ya Mtu kupata hitilafu ya kiakili ambapo hupelekea kuathiri mfumo wake wa kufikiria, kukumbuka, kuamua n.k.

Ingawa kuna ngazi nyingi tofauti za 'ukichaa', hata Mtu anayepata hasira mara kwa mara au kufurahi mara kwa mara ikawa ni sehemu ya tatizo la kiakilo ambalo bado lipo kwenye kiwango kisicho na madhara.

Wewe jiulize tu pale ambapo haupo kwenye tatizo unapolala unaweza kupatwa na maono(ndoto) ya mambo ambayo hata labda huna uwezo wa kuyatekeleza ukiwa macho kwenye utendaji wako wa kawaida...sasa je ni vipi mfumo wako huo wa ndoto ukakumbana na hitilafu itakayopelekea yale yaliyopaswa kuishia kwenye ndoto yakawa yanakuja hata unapokuwa macho?.

Hali kama ya kujiona una uwezo wa kupaa, una pesa nyingi, unaenda Ulaya, unaongea na Watu au Mtu maarufu n.k.
 
Hayoo ni lazima!! ......sawa!!! leo usiku wa manane lazima tuonane pale Msata kilimani karibu na jeshi nina jambo muhimu haliko sawa na wewe! ..... ntapitia njia ya Bagamoyo kati! safisha njia mapema![emoji23]
 
Mada yako ngumu Sana Mkuu..
 
Karibuni
 
Karibuni
 
Pichani ni mwanamke kichaa(wazimu) ambaye amejifungua watoto mapacha wakike na kiume.[emoji2149]

Wananchi wanasema wakati alipokua na mimba alikuwa akila cabbage na matunda machafu yaliyotupwa dampo, hakuwa na msada wa mtu yoyote wa familia yake au mwanaume aliyempa mimba.

Mpaka siku anajifungua hakusaidiwa na daktari wala mkunga yoyote ila MUNGU PEKEE NDIO ALISIMAMA KATIKA KILA HITAJI LA UYO KICHAA.
 

Attachments

  • FB_IMG_1683661622653.jpg
    33.5 KB · Views: 6
Sio benk hata nyumbani kwako hawezi kutoka na kitu chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…