Vichaa huona nini?


Kwa Mwamposa[emoji23]














Joking
 
Hao ambao walizaa watakua sio vichaa Bali wamepangiwa kuonekana kama vichaa kutoka Kazi I kwako,
 
Usione ajabu ktk ulimwengu mwingine!! usio ujua weye mshana unaonekana Bonge la kichaa kabisaa kwisha kazi!! Maisha haya hatujui mengi sisi km watu! Mie nilidhania ni Tanzania tu kuuumbe;

Jamani Lesotho Maseru ndani ya Hapida, kubhstoana kule , south Africa , Texas jamani napo eti, Alabama!! Zimbabwe Palee mitaa ya juxsta, Angola, Namibia, Melbone, uuuwiii!

eti kooote huko nimewakuta vichaa mbaya zaidi tena weusi tii.... nikajisemea moyoyni heeee!! au kwa vile Wayahudi weusi sie tuli muudhi Mungu???

inawezekana hao Baba zao ndo walipaswa kuwa na dhamana/Mamlaka ya kutuongoza hadi kwenye nchi ya ahadi?? sasa ona au sababu ya kumuabudu Yesu Mzungu! sasa imekula kwetu!
 
Ni kweli kiongozi..mimi pia nishaona watu wengi wakiwanyanyasa na kuwapiga wenye matatizo ya akili...Mungu awalinde waja wake hawa..nawahurumia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
somo zuri sana, nimelipenda ,ni sehemu ya jamii inayotuzunguka.nakupongeza ndugu mtafiti na mwandishi.rai yangu nakuomba kuendeleza utafiti wako ktk hili tatizo ili liweze kuja na ufumbuzi tiba wa hili tatizo.
ASANTE
 
ni tatizo linalohitaji ufumbuzi.
 
Asee hii jambo kweli kuna kichaa nilivyokuwa na aply kazi tukiwa makundi akaja direct kwangu na kusema anajua tumekwenda kwa ajili gani pale na nitapita kweli nilipita hiyo interview. Mwingine yupo napoishi kila akiniona lazima aniite na kutaja position yangu na kuniomba 200 nampa nilichokuwa nacho. Kama akiona nipo kwa mguu anauliza ile gari yako umemuachia nani nakuta nacheka tu. Namwambia nimeamua kufanya mazoezi. Hili ni kweli kama unavyosema.
 
Ukikataa mambo ya kiringeni lazima yakukute hayo ya ukichaa!! kwa mfano weye ungekataa kubeba zile hirizi za babu yako kwa Moyo!! na kuwanga ungekoma nakwambia!
Nilikuwa na Yesu rohoni[emoji1545]
 
Hee!!ee!! wee mazee kabisaa huyu yesu huyu mtanashati kijana wa kizungu? asiye jua sikitiko huyu? pwiii!.....Yesu gani....
Kristo Yesu Massiha Bwana na mwokozi wangu ambaye kwake yeye kila goti litapigwa..Aaamen [emoji1545]
 
Ila Ukiona kichaa anaongea pekeako ujue Kuna vitu vimepandikizwa kichwani kwake, yaani wachawi wanatabia moja kama uliwauuzi basi wao wanakuangalia kwenye lada yao wewe ni kitu gani kinakukera Sana au kuna watu ulikolofishana nao basi wanacheza humo humo.

Kama wewe ni mvuta Bangi wanacheza na Bangi na lengo ni kujificha ili isijulikane kama umerogwa ila wanataka watu wajue kuwa ni mibangi ndiyo chanzo.

Wakati mwingine wanakutupia jini ambae kazi yake atakua anakukera ili ukose amani au anakuletea mambo kibao eidha ya watu ulitofautiana nao au uliwakera kwa namna mojoa au nyingine basi unakuta taswira za wale watu zinakuja kichwani na matokeo yake unakuta mtu anapayuka pekeake.

NOTE; WACHAWI WANAUWEZO MKUBWA SANA WA KITECHNOLOGY YAANI MCHAWI ANAUWEZO WA KUJUA WEWE UNAWAZA NINI KTK KICHWA CHAKO, MCHAWI NA MGANGA NI THE SAME ILA MGANGA ANATIBU MCHAWI ANAHARIBU.
 
 
Changamoto za afya ya akili
Kuna dhana mbalimbali kuhusu changamoto za afya ya akili, mojawapo ya dhana hizo ni ndumba au uchawi.

Afya ya akili ninini ?
Kuwa afya ya akili ni kuwa timamu katika masuala yote yahusuyo, fikra, kumbukumbu, uelewa, uchambuzi wa mambo na utoaji wa maamuzi sahihi na kwa muda au wakati mwafaka.

Utimamu wa akili ni uwezo wa mtu kutambua na kudumu mazingira na jamii yake na kujitambua na kijimudu. Kuwa na changamoto za afya ya akili ni kushindwa kumudu mojawapo au yote kati ya hayo hapo juu.

Kama alivyo binaadamu, ubongo ambao ndio nyumba ya akili, hukua au hudumaa, kuugua na kuweza kufa.

Chanzo
Cha changamoto za afya ya akili ni:
1. Maradhi.
Maradhi kama malaria yasipotibiwa mapema na kwa usahihi huwa kusababisha "degedege" na baadae kifafa. Yapo maradhi ya aina nyingi tutayachambua baadae
2. Ajali
Ajali hasa maeneo ya kichwani huweza pia kusababisha changamoto za afya ya akili
3. Matumizi yaliyokidhiri ya vilevi kama pombe (brain psychosis), bangi, cocaine, mandax, heroine (halusination) na mengine mengi (somo linalojitehemea)
4. Msongo mkali wa mawazo. Kama msongo wa mawazo usipo tibiwa mapema uweza kuzaa kuhanganyikiwa na hata changamoto za afya ya akili
5. Kurithi. Kuna baadhi ya changamoto za afya ya akili hurithishwa ila kutoakana na kuchanyika sana kwenye kuoana hali hii imepungua sana na hata inawezekana sasa inaaotea.....

Itaendelea..

CC: Kanungila Karim
 
Inaendelea

Uchawi
Uchawi au ulozi haujadhibishwa kitaalamu kama ni chanzo cha afya ya akili.

Wahenga walitumia vitosho kama ndia ya kujenga nidhamu katika jamii, "Ukiiba utarogwa" na kadhalika.

Kuogezeka au kupungua kwa tatizo
Takwimu zionesha kwamba, kutoakana na matumizi yaliyokidhiri ya vilevi uchanganya na ugumu wa maisha, idadi ya watu wenye changamoto za afya ya akili inaongezeka wapo wengi hawajioneshi dhahiri ila kama itapita Hospitali ya Taifa Muhimbili itakutana na vijana, wa kike na kuime, makundi kwa mkundi wakifuata huduma ya "methadone", hao wanachangamoto za wazi za afya ya akili. Na sio Muhimbili tu, ni maeneo mengi.
 
Sahihi mbeya Kuna kichaa alizaa na kichaa mwenzie ila mtoto alichukuliwa na watu wa ustawi wa jamii
 
Tuendelee

Wenye changamoto za afya ya akili hawaonekani mitani wala hospitalini
Kuna aina nyingi sana za changamoto za afya ya akili, na ukiangalia kitaalamu, kila mmoja wetu anachangamoto hizo ila zinatofautiana kiwango (severity) na aina. Kiburi, majivuno, hasira kali, wivu na furaha iliyopitiliza, woga usio na sababu za msingi, kukopenda kupita kisasi, dharau, aibu kupiliza....! Zote ni dalili za changamoto hizo.

Walio majalalani ni wale waliozidiwa na hawana msaada au ndugu wa huwahifadhi.

Walio hospitali ni wale waliozidiwa ila kanuni za tiba za afya ya akili zinahimiza "community based care and treatment", wanaolazwa ni wale tu waliozidiwa na wanahitaji uangalizi wa karibu kwa muda ili wapate nafuu wakaendelee na tiba wakiwa nyumbani na kwenye jamii.

Mwenye changamoto hizo akitengwa na familia au jamii yake anaweza kuzidiwa badala ya kupata nafuu.
 
Tuendelee tena

*Kaswende
Kaswende huambulizwa zaidi kwa kujamiiana. Japo kaswende ni maradhi yenye athari mbaya sana, ila dalili zake hazipo wazi kama za kisonono (gono).

Baadhi ya athari hizo ni kuchanganyikiwa au hata kifo, kwani ugonjwa huu hushambulia "internal organs" na neva.

Dhana
Kuna dhana ambayo haijaathibitidhwa kwamba kulikuwa na watu kandokando ya baadhi ya maeneo ya barabara kuu ambao walikuwa na dalili za kuchanganyikiwa. Wengi wa watu hao ni wanaume na wa "almost" rika sawa la kama umri wa miaka kama 38 hadi 40 hivi.

Kilingana na dhana hiyo, inawezekana hayo ni matokeo yasiyo tarajiwa ya kazi za ujenzi wa barabara, yaani wajenzi aambao kwa asili ya kazi zao, waliacha mbegu hapa na pale na wazao wao ndio hao.

Wako wapi wanawake Basi?
Inawezekana wapo pia akina mama wa rika na maeneo hayo wenye changamoto kama wanaume.

Kwa kawaida Waafrika wanathamini sana utu wa mwanamke na akina mama hao wanahifadhiwa ndani.

Chukua mfano mdogo tu, watokee mwanaume na wamanake wenye changamoto za afya ya akili na wamezidiwa kiasi cha kuvua nguo zote wqkabaki utupu, yupi jamii itamkimbilia kumhofadhi kwanza?

Inabidi suala la kaswende, ujenzi wa barabara na changamoto za afya ya akili lifanyiwe utafiti wa kina ili kuokoa kizazi hiki na kijacho.
 
Tumalizie hapa
Afya ya akili na unyapaa
Changamoto za afya ya akili ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine wote na unaweza kumpata yoyote wakati wowote. Jamii kwa kutokuelewa imekuwa ikiwanyapaa watu nao na kuwaongezea msongo na hatimaye ugonjwa.


Majina kama kichaa, mwehu, mwengawazi, chizi, fyatu, sio tija bali ni petroli kwenye cheche za moto, leo yeye kesho wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…