Vichekesho: Iran yadai timu yao ya taifa ilishindwa na Uingereza kwasababu ilikuwa ikicheza na wasaliti Marekani, Israel na Saudi Arabia

Vichekesho: Iran yadai timu yao ya taifa ilishindwa na Uingereza kwasababu ilikuwa ikicheza na wasaliti Marekani, Israel na Saudi Arabia

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Vyombo vya habari Iran vyenye mrengo wa serikali imesingizia timu yao kushindwa ni mambo ya kisaikolojia iliyopandikizwa dhidi ya wachezaji wao.

Kwa iyo Iran ilikuwa inacheza dhidi ya Uingereza, Marekani, Israel na Saudi Arabia Iran 2- England, Israel Saudi Arabia 6.

Mhariri wa gazeti hilo ambaye uteuliwa na ayatollah.

Soma Zaid kwa Kiingereza #2
 
Vyombo vya habari Iran vyenye mrengo wa serikali imesingizia timu yao kushindwa ni mambo ya kisaikolojia iliyopandikizwa dhidi ya wachezaji wao.

Kwa iyo Iran ilikuwa inacheza dhidi ya Uingereza, Marekani, Israel na Saudi Arabia Iran 2- England, Israel Saudi Arabia 6.

Mhariri wa gazeti hilo ambaye uteuliwa na ayatollah.

Soma Zaid kwa Kiingereza #2
20221123_143446.jpg
 
Vyombo vya habari Iran vyenye mrengo wa serikali imesingizia timu yao kushindwa ni mambo ya kisaikolojia iliyopandikizwa dhidi ya wachezaji wao.

Kwa iyo Iran ilikuwa inacheza dhidi ya Uingereza, Marekani, Israel na Saudi Arabia Iran 2- England, Israel Saudi Arabia 6.

Mhariri wa gazeti hilo ambaye uteuliwa na ayatollah.

Soma Zaid kwa Kiingereza #2
Mzee , Iran inadai lakini gazeti ulioiweka ninuengereza na sio ya Iran. Sio kila kitu unachoona basi ni sahihi . Tafuta gazeti ya Iran kuhakiki kama ni wao waliosema hivyo
 
Vyombo vya habari Iran vyenye mrengo wa serikali imesingizia timu yao kushindwa ni mambo ya kisaikolojia iliyopandikizwa dhidi ya wachezaji wao.

Kwa iyo Iran ilikuwa inacheza dhidi ya Uingereza, Marekani, Israel na Saudi Arabia Iran 2- England, Israel Saudi Arabia 6.

Mhariri wa gazeti hilo ambaye uteuliwa na ayatollah.

Soma Zaid kwa Kiingereza #2
Kwanini Iran imefungwa 6 - 2 , sio siri.
Sababu :
1. Kipa asilia wa timu ya Iran , aliumia ndani ya dakika kumi za mwanzo baada ya Mechi kuanza .

2. Sio wote ila baadhi ya mashabiki waliokuja kwenye mpira , nia yao ilikuwa sio kuona mpira baali kupigia debe kauli zao . Mashabiki waliokuja walikuwa wanawatukana wachezaji wa timu ya Iran kwa sababu ya kukubali kuja Qatar kucheza.

Pamoja na kuwa imefungwa , Iran ni nchi pekee kwenye kombe la dunia kupata goli mbili za pamoja na uengereza. Pamoja na hayo Tarime ni mwa Asia wa Kwanza kupata goli 2 Kwa pamoja katika Mechi moja kwenye kombe la dunia 2022.

Lakini nani anatoa taarifa hizi , inapofika Iran kila mtu au serekali za kimagharibi zinaamua kufungua mdomo na kufunga sikio
 
Wairan wamechoka na serikali inayojiita ya kidini na sasa wako tayari kwa mabadiliko ili wachague serikali wanayoitaka wenyewe na sio hii ya kitapeli.
 
Back
Top Bottom