Vichekesho vya Dr. Bashiru na team yake

Vichekesho vya Dr. Bashiru na team yake

SONGOKA

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
1,841
Reaction score
1,843
Ukistaajabu ya Corona utayaona ya CCM.

Kurudi kwa Sumaye CCM na kupokelewa kwa mbwembwe wakati ambapo makatibu wakuu wawili wakiitwa kuhojiwa ni dhihaka na vichekesho vya hali ya juu.

Sumaye kwa kipindi cha takribani miaka minne ametumia majukwaa ya upinzani kuinanga, kuizodoa, na kuisema CCM waziwazi, amemkosoa na kumzodoa Mh. Rais kwa muda wote huo bila kupepesa macho.

Tofauti na ndugu Membe, Kinana na Makamba ambao walijaribu kukosoa wakiwa ndani ya chama tena wakiwa na lengo la kuboresha.

Sasa eti imeonekana SUMAYE ni shujaa anayerudi nyumbani na hawa makada wengine ni waovu kuliko Sumaye. Ujumbe gani unatolewa katika nadharia hii? Kwamba ukitaka kukikosoa chama na viongozi wake na ubaki salama basi ni bora ujitoe kwanza then watukane kila uwezavyo alafu rudi CCM, watakupokea kwa shangwe.

BASHIRU katika hili umechekesha sana kaka, nadhani Sumaye angepokelewa kimya kimya then aitwe kamati ya maadili kwanza ili kuhojiwa kwa kina kabla ya kumshangilia hadharani.

Najua unajua ila nakujuza hadharani ili ujue cha kufanya kwa makada watiifu wanaokosoa na makada vigeugeu wanaoingia na kutoka kama SUMAYE
 
SONGOKA,
Mkuu unashindwa kutofautisha mambo madogo kama haya? Hata akina Kinana na Makamba wakifanikiwa wakainunua CHADEMA halafu wakaanza kuitukana CCM na viongozi wake hawataitwa na kamati ya maadili ya CCM kuhojiwa. Labda wanaweza kuitwa na Polisi tu.
 
Instagram media - B8dHMpiHHIs ( 692 X 640 ).jpg
 
Mkuu unashindwa kutofautisha mambo madogo kama haya?
Hata akina Kinana na Makamba wakifanikiwa wakainunua CHADEMA halafu wakaanza kuitukana CCM na viongozi wake hawataitwa na kamati ya maadili ya CCM kuhojiwa. Labda wanaweza kuitwa na Polisi tu.
Hujaelewa context ya hoja yangu mkuu
 
SONGOKA,
Ile movie ilikuwa na lengo fulani ila sidhani kama limefanikiwa kwa kiasi kikubwa, lakini hata hivyo Sumaye atakuwa amevuna wanachama wachache wa Chadema, bila shaka watamfuata hivyo amekiingizia chama chetu faida.
 
Makachero ya CCM yaliyotumwa kuinunua CHADEMA warejea baada ya kumaliza kazi waliyotumwa. Wasema bado hata mwaka huu CCM inaweza kutumia mbinu ileile kwa sababu waliopiga nao dili -mmoja kachaguliwa tena kuwa mwenyekiti na mwingine kawa makamu mwenyekiti.
dah ndo ilikua hivi
 
Mwanasiasa wa Tz akikuambia 'usiku mwema' kabla ya kuitikia jiridhishe kwanza kama ni usiku kweli ndio ujibu salaam hiyo! hawakawii kukuambia 'usiku mwema' kumbe ni mchana wa saa 6!
 
SONGOKA,
Mkuu unashindwa kutofautisha mambo madogo kama haya? Hata akina Kinana na Makamba wakifanikiwa wakainunua CHADEMA halafu wakaanza kuitukana CCM na viongozi wake hawataitwa na kamati ya maadili ya CCM kuhojiwa. Labda wanaweza kuitwa na Polisi tu.
Mlisema Lowassa na Sumaye walinunua CDM,sasa kwanini wameondoka?Pesa yao wamechukua?Kwanini CCM isiwatumie hao makada wao kuelezea namna walivyoinunua CDM?
Propaganda mshafeli!
 
Mlisema Lowassa na Sumaye walinunua CDM,sasa kwanini wameondoka?Pesa yao wamechukua?Kwanini CCM isiwatumie hao makada wao kuelezea namna walivyoinunua CDM?
Propaganda mshafeli!
Kwani unavyoona CHADEMA hii inafanana na CHADEMA ile ya NGUVU YA UMMA?,
ile ya enzi za Dr?
Ile ambayo hata Serikali ikisikia CHADEMA ilikuwa ikitetemeka?
Tamaa ya Mwenyekiti na Tundu imeua kabisa morali ule wa enzi za Dr?
Siku hizi hata kutamka UFISADI tunaona aibu
Hata Mwenyekiti mwenyewe mara ya mwisho alilitamka 2015 kabla hajakatazwa ma MAFISADI ya CCM eti UFISADI sio issue Tanzania.
Leo chama kimeyumba kwa usaliti wa Mwenyekiti na Tundu.
Halafu hakuna kuwajibika kokote.
 
Kwani unavyoona CHADEMA hii inafanana na CHADEMA ile ya NGUVU YA UMMA?,
ile ya enzi za Dr?
Ile ambayo hata Serikali ikisikia CHADEMA ilikuwa ikitetemeka?
Tamaa ya Mwenyekiti na Tundu imeua kabisa morali ule wa enzi za Dr?
Siku hizi hata kutamka UFISADI tunaona aibu
Hata Mwenyekiti mwenyewe mara ya mwisho alilitamka 2015 kabla hajakatazwa ma MAFISADI ya CCM eti UFISADI sio issue Tanzania.
Leo chama kimeyumba kwa usaliti wa Mwenyekiti na Tundu.
Halafu hakuna kuwajibika kokote.
Umekwepa maswali yangu ya msingi,hivyo basi suala la kununua CDM ni propaganda mfuu!
Nikuulize,kwanini mpaka leo serikali inayojipambanua kupambana ufisadi imewaficha waliochukua fedha za Escrow kwa sandarusi?Ni akina nani hao na kwanini wanafichwa?Kuna vita dhidi ya ufisadi hapo?
 
Hili kundi lazima lisambaratike kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
 
Back
Top Bottom