Hayajamani JF-Expert Member Joined Jul 2, 2012 Posts 883 Reaction score 271 Jan 15, 2014 #21 wengine wanakula kama mboga na wengine wanaburudika kwa kuvuta (mhadarati)
The secretary JF-Expert Member Joined Jan 14, 2012 Posts 4,148 Reaction score 2,537 Jan 15, 2014 #22 Pastor Achachanda said: Mkuu natumia "like" ningegonga "simu". Umekuta wenyeji wako wanakula ingekuwa na madhara ungewakuta? Bibi yangu aliniambia kuwa inatibu hadi vidonda vya tumbo na inakausha vidonda haraka sana. Unapokea mgeni kama huyu balaa. Click to expand... inaongeza damu kwa kasi
Pastor Achachanda said: Mkuu natumia "like" ningegonga "simu". Umekuta wenyeji wako wanakula ingekuwa na madhara ungewakuta? Bibi yangu aliniambia kuwa inatibu hadi vidonda vya tumbo na inakausha vidonda haraka sana. Unapokea mgeni kama huyu balaa. Click to expand... inaongeza damu kwa kasi