Vichwa hivi vya mkwawa(complex) viko wapi?

Mkwawa 1991-94,wameanzisha jumuia ya mkwawa complex mara kwa mara wanakutana.hii jumuia ina connect watu wengi sana.
 
Dah mi nazani tungeikuza ikajumuisha watu wa maiaka yote ndio ingekua na nguvu sana sana,au we unaonaje?manake mi naona historia ya shule hii inakufa kabisa
Mkwawa 1991-94,wameanzisha jumuia ya mkwawa complex mara kwa mara wanakutana.hii jumuia ina connect watu wengi sana.
 

na Mkandawile (Mkandaboy) wa pugu boys na mtaalam wa tuishen za chemistry yuko wapi???????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…