MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Ask Musiba1. Uhuru - Lugola ajiuzulu uwaziri
2. Mwananchi - Lugola atumbuliwa kwa aibu kubwa
3. Tanzanite - ???
4.
5
6
Wakuu hebu tuendelee kubashili vichwa vya habari kwa kila gazeti
Musiba ataweka "Lugola aachia ngazi"Ask Musiba
Tanzanite?Lugola akwepa aibu aamua kukaa pembeni
ukifatilia vizuri hiyo wizara hakuna waziri anayemaliza muda wake salamaWizara ya Mambo ya ndani awamu hii imekuwa ndio Kichinjio cha Wanasiasa wasaka Urais , Ukiona umepewa hii Wizara jua ndio Bongo star search yako ya Kisiasa
Rais angekuwa hajamaliza nafasi za Uteuz za Ubunge wa kuteuliwa, basi hii Wizara ingemfaa sana Mtoto mteuleukifatilia vizuri hiyo wizara hakuna waziri anayemaliza muda wake salama
Peleka Uzi wako siasani huko1. Uhuru - Lugola ajiuzulu uwaziri
2. Mwananchi - Lugola atumbuliwa kwa aibu kubwa
3. Tanzanite - ???
4.
5
6
Wakuu hebu tuendelee kubashili vichwa vya habari kwa kila gazeti
hahah hapo hapafai wapendwa wake, hapo ni kwa ajili ya wale ambao baada ya muda watachafuka na kutofaa kuwekwa popote tena maana kuna maagizo mabaya sana hupewa na yaki-backfire wanaachiwa msala wote.Rais angekuwa hajamaliza nafasi za Uteuz za Ubunge wa kuteuliwa, basi hii Wizara ingemfaa sana Mtoto mteule
1. Uhuru - Lugola ajiuzulu uwaziri
2. Mwananchi - Lugola atumbuliwa kwa aibu kubwa
3. Tanzanite - ???
4.
5
6
Wakuu hebu tuendelee kubashili vichwa vya habari kwa kila gazeti
Gazeti gani mkuuKangi Lugola akatwa mkia kama kondoo
Gazeti gani?,Mkata miuno alivaa dera
Jr[emoji769]
Apewe bashite atamalizaukifatilia vizuri hiyo wizara hakuna waziri anayemaliza muda wake salama