Wadau naomba tutabiri vichwa vya habari vya kesho magazetini hasa yale ya rangirangi..
Mimi naanza na hivi.
1.Simba ala nyasi,,ashindwa kujizuia aangua kilio ukumbini baada ya kukosa tuzo..
2.Kiba,Diamond waangukia utosi mbele ya wanaijeria,wakesha wakitafutana na mond ili wafarijiane..
3.Mond,kiba,waula wa chuya sauzi..
Naomba tuongezee vichwa vya habari hapo..Karibuni sana wanajamvi..