Wana Chadema kwa kulalaama duh!Kila siku mara ITV,mara TBC mara chanel 10.mnataka kila siki vichwa habari vimsifu slaa tu!haizekai vyombo vya habari vyote vikawa kama JF kumsifia slaa tu
Kaka mi hawa jamaa wa CHADEMA wananiboa kupita maelezo, maana wao kazi yao ni matusi na kulalamika tu, mtaiweza nchi nyie kwa style yenu hiyo..Au mnahisi IKULU ni kama Guest house kila mtu anaingia tu!!???
Usitake kutuziba midomo pale wanapoharibu tusiwaambie!??? ccm mnafitina na mafisadi wanawatumia ninyi mnaipeleka nchi pabaya!!
au wana CCM wote si Raia wa nchi hii!!
Kwa headings kama hizi halipishani na magazeti ya Shigongo ya Uwazi na Ijumaa.Mchumba wa Slaa uso kwa uso na Rose
Slaa amsifu mchumba, amuonya Makamba
Chadema washindwa kumzuia Kikwete
Wana Chadema kwa kulalaama duh!Kila siku mara ITV,mara TBC mara chanel 10.mnataka kila siki vichwa habari vimsifu slaa tu!haizekai vyombo vya habari vyote vikawa kama JF kumsifia slaa tu
Ukishakuwa upande wa ccm, lazima uwe mwenda wazimu. ndicho kinachowakumba habari leo, maana hawatumii akili za taaluma bali ni za mtaani. Sioni tofauti kati ya wapiga majungu mtaani na hao waandishi wa hilo gazeti. Kazi ipo
Kaka mi hawa jamaa wa CHADEMA wananiboa kupita maelezo, maana wao kazi yao ni matusi na kulalamika tu, mtaiweza nchi nyie kwa style yenu hiyo..Au mnahisi IKULU ni kama Guest house kila mtu anaingia tu!!???
Wana Chadema kwa kulalaama duh!Kila siku mara ITV,mara TBC mara chanel 10.mnataka kila siki vichwa habari vimsifu slaa tu!haizekai vyombo vya habari vyote vikawa kama JF kumsifia slaa tu