Vichwa vya treni ya SGR kupewa jina la "Samia Express", Watanzania tumekwama wapi?

Vichwa vya treni ya SGR kupewa jina la "Samia Express", Watanzania tumekwama wapi?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Naishukuru Serikali kwa kupitia Shirika la reli Tanzania TRC kwa kuendelea na jitihada za kuboresha miundombinu yetu la reli.

Ila kinachonisitikisha, ni uamuzi wa kupachika jina la Mwenyekiti wa chama cha Siasa(CCM) bla kuwashirikisha Wananchi Wanaotoa kodi zao. Hii ni haki kweli?
1720686979377.png

78f2c1b5-0eee-481c-ae06-df8c91e94579.jpg

Naamini Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufikiri zaidi ya huu.

Je, Dr. Samia kawalazimisha au ni Kada mmoja yupo huko TRC kaamua kujipendekeza?

Je, kama nchi tunaelekea wapi? Ni wapi tumejikwaa? Hii ni moja ya matumizi mabaya ya madaraka. Tunapoenda Wahuni watakuwa wanajifungia ndani asubuhi wanakuja wameadilisha jina la mbuga ya Ngorongoro.
71029549_2414394538667675_3526246039247912960_n.jpg
treni.jpg

Kutoka maktaba Raia wa Nachingwea kwa Mara ya kwanza wamaipokea Treni ya kutoka mkwaya hadi Nachingwea
Oktoba 25, 1949
jan-1-1960-chinese-leader-mao-tse-tung-greets-president-julius-k-nyerere-E0RMD2.jpg

Mao-Tse-Tung wa China akiwa na Julius K. Nyerere alipoenda kuwaomba Wachina wamalizie mradi wa reli ya TAZARA. 01 Jan 1960.
1720687145631.png

Mungu azidi kutuongoza na kuwasimia Viongozi waliopo Madarakini Watufikirie Sisi Wananchi kabla ya kujiangalia wao
 
Salaam Wakuu,

Naishukuru Serikali kwa kupitia Shirika la reli Tanzania TRC kwa kuendelea na jitihada za kuboresha miundombinu yetu la reli.

Ila kinachonisitikisha, ni uamuzi wa kupachika jina la Mwenyekiti wa chama cha Siasa(CCM) bla kuwashirikisha Wananchi Wanaotoa kodi zao. Hii ni haki kweli?
View attachment 3039283
View attachment 3039281
Naamini Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufikiri zaidi ya huu.

Je, Dr. Samia kawalazimisha au ni Kada mmoja yupo huko TRC kaamua kujipendekeza?

Je, kama nchi tunaelekea wapi? Ni wapi tumejikwaa? Hii ni moja ya matumizi mabaya ya madaraka. Tunapoenda Wahuni watakuwa wanajifungia ndani asubuhi wanakuja wameadilisha jina la mbuga ya Ngorongoro.
View attachment 3039268View attachment 3039270
Kutoka maktaba Raia wa Nachingwea kwa Mara ya kwanza wamaipokea Treni ya kutoka mkwaya hadi Nachingwea
Oktoba 25, 1949
View attachment 3039276
Mao-Tse-Tung wa China akiwa na Julius K. Nyerere alipoenda kuwaomba Wachina wamalizie mradi wa reli ya TAZARA. 01 Jan 1960.
View attachment 3039286
Mungu azidi kutuongoza na kuwasimia Viongozi waliopo Madarakini Watufikirie Sisi Wananchi kabla ya kujiangalia wao
Hilo lina madhara gani katika uchumi wetu, au kwa ufanisi wa hilo shirika, sometime chuki ni mbaya huyu ni Raisi wa nchi hi.......
 
Lakini stendi ilivopewa magufuli bus terminal mbona mlishangilia sana
 
"Kizuri chajiuza, KIBAYA chajitembeza"

Mleta mada wala usijitaabishe kwa Mambo kama haya ya watu walioshindwa....wanazidi kujiweka wazi kwamba wamefilisika na hawana la ziada la kuwapa/fanyia wananchi.
Inabidi wajitangaze ili wajulikane kwamba wapo, maana hata wao wenyewe wanajua kwamba wamesahaulika kwa wananchi.

Ukiona mtu anaparamia mpaka kodi ya mwanachi inayotolewa kwa ajili ya miradi ya maendeleo na anasema ni pesa yake, basi ujue ni debe tupu.
 
Salaam Wakuu,

Naishukuru Serikali kwa kupitia Shirika la reli Tanzania TRC kwa kuendelea na jitihada za kuboresha miundombinu yetu la reli.

Ila kinachonisitikisha, ni uamuzi wa kupachika jina la Mwenyekiti wa chama cha Siasa(CCM) bla kuwashirikisha Wananchi Wanaotoa kodi zao. Hii ni haki kweli?
View attachment 3039283
View attachment 3039281
Naamini Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufikiri zaidi ya huu.

Je, Dr. Samia kawalazimisha au ni Kada mmoja yupo huko TRC kaamua kujipendekeza?

Je, kama nchi tunaelekea wapi? Ni wapi tumejikwaa? Hii ni moja ya matumizi mabaya ya madaraka. Tunapoenda Wahuni watakuwa wanajifungia ndani asubuhi wanakuja wameadilisha jina la mbuga ya Ngorongoro.
View attachment 3039268View attachment 3039270
Kutoka maktaba Raia wa Nachingwea kwa Mara ya kwanza wamaipokea Treni ya kutoka mkwaya hadi Nachingwea
Oktoba 25, 1949
View attachment 3039276
Mao-Tse-Tung wa China akiwa na Julius K. Nyerere alipoenda kuwaomba Wachina wamalizie mradi wa reli ya TAZARA. 01 Jan 1960.
View attachment 3039286
Mungu azidi kutuongoza na kuwasimia Viongozi waliopo Madarakini Watufikirie Sisi Wananchi kabla ya kujiangalia wao
Huyu mama ipo siku atataka Tanzania iitwe Samia Suluhu!!

Ni kama ana shida kubwa hivi
 
Back
Top Bottom