figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Naishukuru Serikali kwa kupitia Shirika la reli Tanzania TRC kwa kuendelea na jitihada za kuboresha miundombinu yetu la reli.
Ila kinachonisitikisha, ni uamuzi wa kupachika jina la Mwenyekiti wa chama cha Siasa(CCM) bla kuwashirikisha Wananchi Wanaotoa kodi zao. Hii ni haki kweli?
Naamini Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufikiri zaidi ya huu.
Je, Dr. Samia kawalazimisha au ni Kada mmoja yupo huko TRC kaamua kujipendekeza?
Je, kama nchi tunaelekea wapi? Ni wapi tumejikwaa? Hii ni moja ya matumizi mabaya ya madaraka. Tunapoenda Wahuni watakuwa wanajifungia ndani asubuhi wanakuja wameadilisha jina la mbuga ya Ngorongoro.
Kutoka maktaba Raia wa Nachingwea kwa Mara ya kwanza wamaipokea Treni ya kutoka mkwaya hadi Nachingwea
Oktoba 25, 1949
Mao-Tse-Tung wa China akiwa na Julius K. Nyerere alipoenda kuwaomba Wachina wamalizie mradi wa reli ya TAZARA. 01 Jan 1960.
Mungu azidi kutuongoza na kuwasimia Viongozi waliopo Madarakini Watufikirie Sisi Wananchi kabla ya kujiangalia wao
Naishukuru Serikali kwa kupitia Shirika la reli Tanzania TRC kwa kuendelea na jitihada za kuboresha miundombinu yetu la reli.
Ila kinachonisitikisha, ni uamuzi wa kupachika jina la Mwenyekiti wa chama cha Siasa(CCM) bla kuwashirikisha Wananchi Wanaotoa kodi zao. Hii ni haki kweli?
Naamini Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufikiri zaidi ya huu.
Je, Dr. Samia kawalazimisha au ni Kada mmoja yupo huko TRC kaamua kujipendekeza?
Je, kama nchi tunaelekea wapi? Ni wapi tumejikwaa? Hii ni moja ya matumizi mabaya ya madaraka. Tunapoenda Wahuni watakuwa wanajifungia ndani asubuhi wanakuja wameadilisha jina la mbuga ya Ngorongoro.
Kutoka maktaba Raia wa Nachingwea kwa Mara ya kwanza wamaipokea Treni ya kutoka mkwaya hadi Nachingwea
Oktoba 25, 1949
Mao-Tse-Tung wa China akiwa na Julius K. Nyerere alipoenda kuwaomba Wachina wamalizie mradi wa reli ya TAZARA. 01 Jan 1960.
Mungu azidi kutuongoza na kuwasimia Viongozi waliopo Madarakini Watufikirie Sisi Wananchi kabla ya kujiangalia wao