Asterisk
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 214
- 50
Mh Vick amemwomba waziri wa maliasili na utalii kushirikiana na Victoria Foundation kuwaleta watu maarufu duniani hapa nchini ili watu wengi waje na kuongeza utalii.
Ameyasema hayo leo bungeni na kutolea mfano kipindi kile Beckam alivyokuwa akitembelea nchi mbalimbali kwamba utalii uliongezaka kwenye hizo nchi...
Ameyasema hayo leo bungeni na kutolea mfano kipindi kile Beckam alivyokuwa akitembelea nchi mbalimbali kwamba utalii uliongezaka kwenye hizo nchi...