Vicky Kamata aokoka

AMEN ni habari nzuri basi anachotakiwa ni kutulia ndani ya Yesu kwani faida zake hazielezeki.
 

Kila anaempenda Yesu ameokoka? Jibu lake halikujibu swali husika. BTW, kanisani na misikitini si kimbilio la kila mtu, japo sehemu hizo tukufu zimekuwa majalala ya waovu kukimbilia. BTW, hata mwizi akielekea kuiba ataomba Mungu amsaidie.....
 
Majaribu yote haya kuna kuokoka? Labda useme kuna kuamua kujitahidi kuyashinda majaribu. So, HAKUNA KUOKOKA!!!
 
atakua kaokoka baada ya kupata tiba kwa babu loliondo....
 

wewe unamsemea Vicky kama nani? huonagi jema la wenzio wewe nakuambia hili kwa mara ya pili!!! umaarufu gani anautaka tena?
live your life!!!
 
Amen Amen Vicky. Yesu alikuja kuvitafuta vilivyopotea! Makosa na dhambi zetu zinatakaswa na kuwa nyupe kama theluji! Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi! Kama umeokoka na uokoke kiukweli. Neno la Mungu limesema ni heri kuwa baridi au moto kuliko kuwa vuguvugu. Fahamu kuwa maisha ya kilokole ni kazi kubwa na inabidi ufanye kazi kubwa kuulinda wokovu wako. Kwenye ulokole si usanii, ni kweli kweli. Tafadahali usitumie njia ya ulokole kuimarisha usanii wa kidunia kama wafanyavyo baadhi ya watu wanaojiita waokole kumbe ni kuvaa ngozi ya kondoo wakati mwili ni wa Simba. Again, hongera na usiangalie nyuma kuwa eti watu au jamii itasemaje! Ukakitulia na Bwana Yesu utampata hata mume bora kama utahitaji kufanya hivyo maana neno la Mungu linasema, njooni tusemezane, hoja zenu na zijulikane mbele za Bwana.
 
Ulimuuliza kwa nini ameamua kuokoka, au anampenda Yesu tu, wengi huwa wana sababu maalum au Mahsusi, kama anajutia alofanya zamani, Mungu amsamehe.
 
ameenda kwa babu kunywa dawa? jamaa nasikiaa amesha wahi.
 
kafulia huyo,,,,,,, kaona hana jipya zaidi ya mwanamke na maendeleo,,,,
 
kumpenda yesu si kuokoka, ni kushika dini kikawaida bila kuyumbishwa yumbishwa
 

amen, nadhani atatoa vitu vikali huko
 


kipimo cha wokovu si kuimba tu nyimbo za Injili bali U-TURN katika mwenendo mzima wa Maisha. Ila tumwombe Mungu ili tumwone akipiga hatua kwa kile anachokiri ili isiwe ni gia ya kuingia soko la nyimbo za injili ambalo ni ngumu kusonga mbele kama hujaingia katika maombi sawa sawa na Yesu aamue kukutumia.
 
ni vyema kumrudia muumba ukiwa bado una nguvu
mm namshaur kama kaukwaa aende Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…