Elections 2010 Vicky Kamata kuongea lugha moja na Sugu Mjengoni?

Watu hawataki mchezo mda wakula nyama choma lazima wawe nao!
 
Lakini tujuavyo mwizi akishaiba kinachofuata ni kusheherekea,na waburudishaji wa aina zote lazima wawepo.Kwa hiyo ndio hali,je Vicky ataendelea na siasa baada ya miaka mitano hii kuisha?bungeni ataingia tena na ataingiaje au itabidi abadilishe wa kumburudisha? Sasa ndio tunaona ile sera ya usawa wa kijinsia inavotumika,sidhani kama ndio matarajio ya wengi.
 
Yangu mie macho na masikio. Mfahamu hizo ndio hulka za viongozi wengi wa chama cha mafisadi CCM.

MLA VYA WENZIE NAE HULIWA VYAKWAKE.
 
huyu dada alikuwa hovyo sana pale chuo( st. Augustine)
 
Mi nakwambia Bunge la mwaka huu lina kila aina ya chachandu!
 

Kweli kabisa hapa!
 
fani ya kuimba kweli sio mbaya mpaka sasa imeshatoa watu kadhaa kuingia mjengoni
Capt Komba
Kamata
Sugu
..
..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…