Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Hahahhaa hawa wanaojificha kwenye viti maalum karibia wote wauza mbunye! Hata huko chadema ni yale yale! Kwa hiyo JPM aliikataa mbunye ya Vicky ikawa taabu! Mpka ameamua kubweka kuwaomba Viongozi wa dini wagange mioyo ya wauza K!
Hii viti maalum ingeondolewa tu

Ova
 
Walijua jiwe na yeye ni mpenda totoz hovyo hovyo
 
Umesahau kuwa alizaa mtoto naye
 
Wanawake wengi waki bongo wamezoea kuishi Kwa kutumia mwili kwa Viongoz ili mambo yao yaende sasa wakikutana na bandidu hata mwili wako lazma wakuone katili
 
Hivi unadhani ni kwanini Mkapa haongelewi sana kwa mabaya au mazuri aliyoyatenda ?!.

Jiulize ni kwanini Jiwe lako linazungumzwa kwa ukatili !!.
Mkapa alizungumzwa sana JK alipoingia. Alichafuliwa kuliko unavyodhani. Alishawahi kupigwa mawe na vijana kule masaki kwa kuambiwa alisababisha maisha magumu.

Kuna wakati aliandamwa hadi wakasema ashitakiwe. Ilifikia hatua alitakiwa pia aende mahakamani akatoe ushahidi wa kesi ya profesa mahalu ambaye alikuwa balozi italy wakati mkapa alipokuwa rais.

Ni suala la muda tu Magufuli atainuliwa kwa wengi zaidi.
 
Huyo nakwambia anatokea Bukungu Nyang'hwale geita kwa babu yake wajomba zake ni akina Ndikilo mkuu wa mkoa wa pwani wa zamani! Mjinga sana huyu!

Kweli unamfahamu na mjomba wake mwingine ni Padri,sijui huwa hawamshauri,ana mambo ya hovyo hovyo tu tangu zamani.
 
Mkuu Jiwe ataendelea kusemwa sio kwa maana ya yule alielala hapana ni yule anaeishi kwenye mioyo ya wafuasi wake sukuma gang and the like for years to come yaani sijui ataachwaje kusemwa wakati kaacha vidonda na makovu kibao miongoni mwa Watanzania hataachwa yule mwovu inabidi tuvumiliane tu.
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Unafiq kiwango cha rami. Maiti zinararuaana yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…