Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Hahaha siku hzi naona chura lake halija kaa vzr

Yuko minyamanyama...

Ova
Hata mimi nashangaa. Limesinyaa. Yani mrangi mimi ningekuwa, kwenye hizo nafas za, juu hao viti maalumu yani na vunja kabisa hazina bila huruma na mega hata a third of national badget. Yani Mungu mjanja amenibakisha tu hapa mshahara wa 60K$ + after tax kwa mwaka.
 
Kumsikiliza Vicky kamata ni kupungukiwa akili; yeye alikaa Bungeni kwa miaka 10, je alitoa mchango gani tunaoweza kusoma kwenye Hansard za bunge? leo analalamika kwa sababu hakurudi bungeni wakati wa utawala wa jiwe.

Halafu hili swala la viongozi wa dini kutoa matamko ya kisiasa nadhani inabidi wazuiwe kwani huwa hawana misimamo. Askofu wa Arusha alikuwa wapi kumwambia Magufuli kuwa anakosea mpaka baada ya kufariki? Ni hao waliokuwa wanasema ametumwa na mungu; wako kujikomba zaidi kwa viongozi. Najua maaskofu wawili au watatu ndio waliokuwa wanasema wazi kwa sababu wao ni wafuasi wa CHADEMA wasiojificha.
 
Mwongo mkubwa wewe
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
CCM na UNAFIKI ni kama Samaki na maji
 
Hahahaha

Ila mm hanistui si unajuaa mabaharia tena

Tushakutana na watoto mchanganyiko,nywele mgongoni paja tako huooo mwili umekuzaa😂😂

Wazee wetu huku ndy wanawatolea macho wadada aina hii

Ova
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Unawezaje kutenganisha SIASA na UNAFIKI! Watu wengi waliishi kwa unafiki sana chini ya JIWE.
Tafuta clip ya kikao cha JIWE na Mama Samia akiwa Makamu wa Rais, aliunga mkono suala la wamachinga kutofukuzwa, wapangwe hata kwenye barabara na barabara ifungwe wauze wao.

Leo hii Mama anawafukuza kabisa na kuharibu mali zao! That's politics.
 
Hii ni sample tu Hahahaah haha
 
Aiseee hao ndo mabingwa wa unafiki. Walimkaribisha lowassa mtu ambaye walimchafua sana akiwa CCM
Lisu, Mbowe, Lema, Sugu, Msigwa, na wengine wengi.

Taja hata mkoja huko lumumba ukianzia na maushungi uone jinsi tutakavyoshusha data za unafiki wake
 
Mbona mnamchonganisha mdada wa watu. Yeye alipata majeraha kwa mume wake kutumbuliwa. Ukitumbuliwa kwa ufisadi au uzembe sio ajabu wewe na jamaa zako kupata machungu.
Lakini umma wa wananchi walipata faida sana kwa viongozi fisadi na wazembe kutumbuliwa. Na kwa hili wanamkumbuka na kumlilia magufuli. Kusema Magufuli alikua kiongozi mkatili ni uongo. Alikua kiongozi mwema sana kwa umma na asiye na huruma kwa watu fisadi na wazembe. Huo ndio ukweli wala kama nchi tusije shiriki kilio cha fisadi na wazembe...acha walie wenyewe.
 
Mwambie hivyo marehemu Lwajabe aliyeuwawa na kutupwa porini Mkuranga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…