Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Yule mzee Meko alikuwa zaidi ya mbwa
Aisee mkuu chalii yangu mavi punda. Tulikuzoeaga mwanzoni mwanzoni na hii picha ya huyu jamaa wa Zenji enzi za okelo kwenye avatar yakoalikuwa anaongea kiingereza kizuuri. Ukaibadilisha na kuweka ya jambaz Joseph Konyi
 
Ni kweli kabisa! Wachina legelege zaidi ya milioni 70, warusi zaidi ya milioni 20 waliuwawa na watawala katili wakina Mao, Stalin - sasa ona nchi hizo maendeleo walio piga! Sisi tunadanganywa kusudi tusiendelee eti democracy.
Mkuu Asante kwa bandiko lako, tatzo wanataka democracy ya USA, AMERICAN NA UK I apply hapa tz hakuna kitu Kama hicho, Mungu hakuruhusu tu jpm akae miaka 10 ila angekaa nchii hii ingekuwa Ni miongoni mwa nchi zenye uchumi imara na wanaopenda nchi yao..

Angalia sasa wamachinga masikin hakuna hata 1 anaewatete, analia wanateseka, wanahangaika, nafkri kunawakat wanajuta kuwa watz,. Rudi miez 6 iliyopita walikuwa na Amani mnooooo, sa iv hakuna kiongoz yeyote anaewaona Kama watu, aseee Mungu atasikia majonzi yao...
 
Ila Vicky janjajanja degree ya Kwanza alisomeshwa na Askofu WA Katolini Jimbo la Shinyanga Hadi akamuimbia na wimbo. Alisomea St Agustino Mwanza. Yaani yeye anasomeshwa na watu Baki si wazazi, ndugu. Dada mjanja Sana.Askofu Balina.

Kwa Askofu Balina aliombewa na mjomba wake ambae ni Padri huko Geita,ndiyo maana akapata huo ufadhili.Huku kwingine nadhani ndiyo aliamua kujilipua mzima mzima.
 
Kavurugwa huyu dada yaani unamshutumu mtu kwa matendo ya watu wengine bungeni, anajuaje watu labda walikuwa na wivu na yeye mwenyewe; kutumbuliwa kwa mumewe ndio furaha yao.

Nilijua labda Magufuli aliagiza wachunguzwe hela za kujenga ule mhekalu wanaloishi wametoa wapi, yeye mwenyewe kakatwa wakati anagombea, mumewe kachunguzwa kwa ubadhirifu.

Malalamiko yake utadhani mumewe alikuwa na hati miliki ya position.

Hivi mwanasiasa ndani ya Tanzania mpaka leo ujaelewa tu raisi mpya anakuja na team mpya ‘that’s how the cookie crumbles’ kwa siasa zetu.

Huyo Magufuli angekuwa na hasira nao mumewe angerudi ata kupewa nafasi tena ya kufundisha UDSM au yeye angekuwa mmbunge leo. Inawezekana hajui nguvu za raisi akamuuulize Rugemalila.

Very shallow woman, ndio aina ya wabunge wa viti maalum wa CCM inaowpenda ata simple reasoning capacity hawana.
 
FisadiKuu kuu anamtumbua fisadi. Bora kaenda zake tu.
 
Vick alitaka kuwatapeli hao watoto wa likwelile kitu gani?
 
Uwezo wake wa kufikiri ndo huu?
Basi ni majanga.
 
Katoka mbali sana hadi kutishia kuvunja ndoa ya Amina Chifupa. Imagine Mpaka njia kapita nae. Ndo sasa akaja kujituliza kwa Jakaya. Akapelekwa London kusoma,alivyo kilaza huko akafeli ndo karudi Tanzania kupewa kazi BOT na JK.
Ila huyu dada ana connection na watu wazito sana,hivyo lazima afurahie maisha, japo kwa Magu...haikuwa rahisi.
 
ila sure,
alipokua hai walikua kimya kama wameshonwa midomo aisee.
 
Nitakuwa wa mwisho pia Kuamini kuwa ( Hajaathirika ) na Dally Kimoko Virus Solo Guitar kwani kuna sehemu Mbili Moja umeitaja hapa na nyingine umeifumba zote 'zilishaooza' tokea miaka hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…