Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa



Wanasiasa ni kuwa muangalifu sana ukiamua kuwasikiliza na kuwafuatilia. I hope we will all learn to be humble....Ila tunavuna tunayopanda. kama vile anavyomlaumu Jiwe, na yeye asije kuwa analaumiwa na familia ya marehemu mume wake.
 
Jiwe alikuwa 'anakwangua' Totooz za maana kama ile iliyokuwepo 360 Clouds Tv ( Siku hizi haipo tena ) na nyinginezo ila siyo hilo 'Lidubwana' Vicky.
Kuna wakati mapambano ya mirathi yanazingua sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mpuuzi tu anatetea ndoa yake na sio maslahi ya taifa.JPM kama alikutungua aliona hufai hapo ukaendelee na majukumu mengine ya kulea mume na wanao.
 
Viongozi Wa dini hawa wanafiki?
 
Viongozi Wa dini hawa wanafiki?
 
Tafuta pesa ndugu. Acha chuki. Haikusaidii
 
Mpaka waupate huo ubunge wa viti maalumu wanapitia mengi sana.
Pole yao, lakini huyu dada ajifunze staha.

Asijipe umuhimu asiokua nao; Magufuli angekuwa na personal vendetta nae huo ubunge wake angeusikia kwenye bomba tu.

Kuna watu walishinda kura za maoni walikatwa kwenye ubunge kwa sababu za ovyo kweli, mpaka mtu unawahurumia. Kumbuka CCM hadi ukatwe ilikuwa either wana mgombea wao wa kimkakati au alieshinda amechafua mahala.

2020 Magufuli alikuja na utaratibu wake ni sawa Salma Kikwete na mwanawe Ridhiwani kuwa wabunge; hila sio sawa Dotto na Kulwa Biteko kuwa wabunge. Sasa unajiuliza kigezo cha kuacha familia moja ni nini na kuengua kingine ni kipi.

Personal naamini mshindi wa kura za maoni jimboni ni haki yake ata kama huko wao mzima umeshinda pande zingine; that’s what democracy demands.

Kama issue ni kusakamwa bungeni sidhani kama kuna watu walilalama kama Bashe na Nape; mpaka Bashe kuwataja usalama wa taifa na Nape kuvaa bullet proof.

Bashe huyo huyo aliishia kuteuliwa waziri mara mbili na Nape kapita bila ya kupingwa.

Pamoja na Nape kuomba msamaha uhalisia ni kwa ‘Musiba’ alikuwa anamtukana kila siku bila ya sababu to provoke his reaction.

Juu ya kukosewa Nape ndio aliomba msamaha na yakaisha hiyo ni kwa juu juu tu.

Hila Magufuli angekuwa na personal vendetta na Nape wana receipt za printing tender alizokuwa anaipa kampuni ya mdogo wake bila ya ushindani akiwa msemaji wa CCM.

Hivyo nyie mnadhani Magufuli angekuwa na shida ya kuwapa watu kesi za ushahidi kuwamaliza angeshindwa.

Stupid Vicky Kamata; yaani kwenye kichwa chake anaamini Magufuli alikuwa na chuki nae binafsi what an ignorant woman, angeupata huo ubunge.
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Kwani Kuna mwanasisiemu asiyekuwa mnafiki?

CCM wote ni wanafiki nilijifunza Hilo kupitia janga la Uviko 19 na mengine mengi.
Hawana wanachokisimamia kwa misimamo yao, ila ni kufuata upepo tu.
 
Kweli tusiwaumize watu wa mungu hapa dunian tunapita tu hivyo vyeo si chochote itabaki hadithi tu na wale waliojifanya kuwaumiza wat ss hv imebaki stori
 
Kweli tusiwaumize watu wa mungu hapa dunian tunapita tu hivyo vyeo si chochote itabaki hadithi tu na wale waliojifanya kuwaumiza wat ss hv imebaki stori

Mbona yeye Vicky alimuumiza sana Mama yake Mzazi mpaka anakufa hawaelewani? Alishindwa nini kureconcile na Mama yake aliyemzaa,huyu ndiyo wa kuja kutupigia kelele hapa za kuponya madonda.Aende kwanza akamake peace na familia ya Umamani kwake ndiyo aje hapa kupiga hizo porojo za kuponya madonda.
 
Mali, kwamfano ghorofa. Halaf anasema huyo mtoto mmoja alizaa na likwe kabla hajamuoa. Yaan amekua kigeu geu. Sikujua iliishiaje. Kuna mali anasema eti alichuma yeye.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Yule mtoto wa kike hadi jina kampachika la Likwelile[emoji23],wakati Baba wa mtoto anajulikana.Alibanwa athibitishe kama Marehemu ni Biological Father wa mtoto akashindwa,kaulizwa kama alikuwa adopted legally aonyeshe uthibitisho pia napo ikawa hola.Asivyokuwa na aibu alikuwa anataka hadi yule mkubwa achukue ubin wa Likwelile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…