Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Vick alitaka kuwatapeli hao watoto wa likwelile kitu gani?

Nyumba anayoishi kwa sasa Mbweni,anasema ni ya mtoto wake yule mdogo,kwamba Marehemu alisema hiyo anamwachia mtoto wake kipenzi[emoji3][emoji3]
 
Huyo Vick wa ndoa mfuu
 
Dah!.. tamaa hizi sasa .
 
Mlupo wa Kikwete, aseme tu wakati wa jpm chuma yy na hawala yake waliisoma namba ya wimbo wan wa ccm. Sahivi anarudi kula bata na mzee wa msoga kwa kuiba tozo zake
 
Hagahahaha hawa malaya hawaa. Ikaishiahe. Kwahiyo amekwamaaa. Maamaaeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Mamamaeeee. Makahaba haya. Hv hawa malaya huwa wanafikiria nn

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wakati anampachika hilo jina Likwelile alikuwa ameisha enda ahera? Watu wangapi wanalea watoto wa ndugu zao kama vile wanewazaa wenyewe bila kuwa adopt legally? Kama mwenye jina alimkubali hayo mengine ni hadithi tu.

Amandla...
 
Rafiki yako nani!? Mwendazake Likwelile au!?
Mtu akiwa ni Rais, hata kama zamani alikuwa ni rafiki yako, huwezi kwenye Public ukasema ni rafiki yako. Rais ni mtu mkubwa na ni Public Figure. Ni wapuuzi tu ambao wanaweza ku misuse jina lake in Public. Namaanisha Mareheme Likwe
 
Wakati anampachika hilo jina Likwelile alikuwa ameisha enda ahera? Watu wangapi wanalea watoto wa ndugu zao kama vile wanewazaa wenyewe bila kuwa adopt legally? Kama mwenye jina alimkubali hayo mengine ni hadithi tu.

Amandla...

Hapa swala siyo hiyo Sir Name,point hapa ni kung’ang’ania mtoto wake apewe urithi sawa na watoto wa Marehemu,wakati hakuna uthibitisho wowote kuwa Marehemu aridhia mtoto huyo apewe urithi kama mtoto halali wa Marehemu
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.​
Hawa wapaliliaji wa teuzi wasipokaribishwa mezani wanatoa povu sana, afterall sisi tutajuaje hakuwa na kinyongo baada ya mumewe kutumbuliwa? kama hakuwa na kinyongo yeye mwenyewe ndo anajua sisi hatuko kwenye moyo wake wala akili yake hadi tuamini kwamba hakuweka kinyongo. Viongozi wote hata nchi zilizoendelea huwa hawaridhishi makundi yote ya watu na hivyo ni rahisi wao kukosolewa na hata kuchukiwa.​
 
Vicy akisoma hizi comments sijui kama atarudia kumsema Marehemu. Watu wanamafail hata yeye haamini wameyapataje.
 
Huyu malaya wa kisiasa aliyemuua mme wake ili arithi mali zake kwa kisingizio cha corona
 
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Migaamboo wanaruka na kukanyaganaaaa [emoji1739][emoji126]
 
Na hutakaa uwe hata mwenye kiti wa kitongoji ndezi weeeeee... Eti ukatili huku umebana pua na makalio...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…