Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Hapa swala siyo hiyo Sir Name,point hapa ni kung’ang’ania mtoto wake apewe urithi sawa na watoto wa Marehemu,wakati hakuna uthibitisho wowote kuwa Marehemu aridhia mtoto huyo apewe urithi kama mtoto halali wa Marehemu
Ulichoandika kilijikita zaidi kwenye surname na sio haki ya huyo mtoto kurithi mali za marehemu. Mara nyingi huwa tunawa treat watoto wa kufikia kama wale tuliozaa wenyewe lakini ukweli mchungu ni kuwa bila kuuweka uhusiano huo kisheria au kumwingiza kimaandishi katika mirathi ( kitu ambacho mahakama zetu ni wepesi kuzikana kwa kuamini zaidi uzaliwa wa damu) inakuwa imekula kwa mtoto. Hata kama mtoto wa kufikia ndie aliyekuwa karibu zaidi na kumhudumia zaidi marehemu.

Amandla..
 
Mtu alikuwa ndani ya Ccm hakukosoa kipindi hicho why leo tupunguze kiwango cha UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA.
Siasa nzuri ni pamoja na kujua uwezo wako na uwezo wa mshindani wako. Kama huna uwezo wa kupambana naye kwa muda husika basi kuwa mpole kama mti wa mnazi wakati wa tufani. Unapotaka kulipiza kisasi uwe na uhakika kwamba unayepambana naye hatakuwa na uwezo tena wa kujibu mapigo. Mlipiza kisasi anayefanikiwa ni yule ambaye atakuwa amejishusha sana kwa mtesi wake kiasi kwamba yule mtesi akadanganyika kwamba jamaa kakubali matokeo na hana madhara tena kwake,kumbe mwenzake anamlia taimingi tuu... (By Busara za Babu yangu, 1947)...
 
But still akataka kutupora mgodi wetu kule Kiwira mpaka watu walipopiga kelele, no one is perfect...
 
Apumzike kwa amani sioni haja ya kuendelea kumwongelea mtu ambaye hawezi kujitetea,tujifunze kusamehe na kuachilia
Ulienda na kuwaona wamepumzika kwa Amani? Hebu tupe michapo ya huko kuzimu jombaa...
 
Membe aliekosoa yeye si binadamu ?
 
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Tena hovyo za kushangaza. Kuna watu wanasiasa wanatakaga kila awamu wao tu ndio watambe na beneficiaries zao. Ni frustrations za kutapeliwa ndoa, then kuolewa kama reserve ikifuatiwa na kutumumbuliwa ukuu wa hazina mume wake, then ikaja mumewe kunyimwa udhamini na serikali ya JPM.kufanya kazi AU aliyoihangaikia after kutumumbuliwa na kukosa uteuzi wa ndani ikapelekea mauti.

Bado Mjane akagombea jina likakatwa, na hakuna uteuzi afterwards kwa ivo VK ana hasira sana na kifua kimmejaa mengi. Hapo anatembelea mstarii ili SSH amkumbuke hata UDC kupitia huruma ya wanawake na maendeleo. La sivyo anajiandaa sijui jimbo gani sasa 2025 manake hakuna jimbo la mpinzani kama alivyodai kwenda Kibamba

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo SSH wanamsubir tu akiachia madaraka then wanaye?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Makundi kipindi cha mwendazake yatoke wapi wakati yeye ndiye alikuwa alfa na Omega? Umesahau alivyokuwa anawazingua hadharani wenzake? Kuwaita wapumbavu, kwamba mashangazi watachapwa viboko, kama siyo mimi wengi humu musingepata ubunge etc etc
 

Ungerudi nyuma kidogo ungeelewa kwanini niliandika hiyo comment,ilikuwa ni mwendelezo wa hoja flan.Yes hapo pa kumwingiza mtoto kisheria ndipo alipokwama,maana Wanafamillia wanahitaji uthibitisho ambao hana,yeye amejikita zaidi kwa kuwa mtoto alitumia ubini wa Marehemu.Familia ni waelewa sana,ni vile yeye Vicky anataka kuwaletea ujuaji wake ndiyo maana wameamua kudeal nae kisheria zaidi pia.
 

Samahani, unaposema familia unamaanisha wakina nani? I am just curious.

Amandla...
 
Makundi kipindi cha mwendazake yatoke wapi wakati yeye ndiye alikuwa alfa na Omega? Umesahau alivyokuwa anawazingua hadharani wenzake? Kuwaita wapumbavu, kwamba mashangazi watachapwa viboko, kama siyo mimi wengi humu musingepata ubunge etc etc
Hawa wote walipopata Ubunge kama kina Gwajiboy na wenzie unafikiri wako kundi gani???
 
Samahani, unaposema familia unamaanisha wakina nani? I am just curious.

Amandla...

Familia ya upande wa Mumewe wakiwemo watoto wa Marehemu.Pana VN ilivuja akiwa anawapiga mikwara siku ya kikao cha familia baada ya msiba.
 
Sioni ktk hayo aliyomlalamikia jiwe chochote chenye maslah kwa Taifa zaidi ya kulalamikia tumbo lake.
Hawa ndio wanasiasa wetu, wamejipa hati miliki ya vyeo walivyoshika.
 
Samahani mkuu wangu,kwan kufanya kazi AU au UN ni lazima hadi serikali yako ikudhamini?? Naomba ufafanuzi kama hautojali!!

Ni kwa zile kazi za kupigiwa kura ambazo wagombea (candidates) lazima wadhaminiwe na majina yao kuwasilishwa rasmi na nchi husika. Top jobs zinazoenda kwa mizunguko ya mabara (regions) na nchi.
 

Mkuu umeeleweka. Hii ni muhimu kwa watu waliokuwa na msimamo dhidi ya Magufuli kama kina Lissu, Kinana, Membe, Heche, Mch Msigwa, n.k.

Lakini kwa hizi modeli za Vicky Kamata au Zitto ambao walikua wanavizia fursa ya “kupendwa” na Magufuli bila kujali uovu wake, hawana credibility ya kumsema vibaya. Angewapa fursa hawa wangetetea hata Lissu kupigwa risasi kama alivyofanya Mollel na Slaa.
 

Jiwe alikuwa mwana kharam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…