Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
VIKKY KAMATTA DADA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA
Nimesoma kwenye gazeti moja hivi kwenye page ya katikati inaeleza kuwa uyu dada yeye anamafanikio makubwa sana kwaville amemaliza masters ya uingereza na kuafaulu vyema, na muimbaji mahili anaeijuwa kazi yake, na mfanyakazi wa BOT. ila nilipata NEW kuwa vikky alifeli uko SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY UK. JE ni KWELI NA NI KWELI KASUBMITH CHETI FEKI BOT. sasa kama dada vikky unavimeo na kunawatu uliosoma nao wanajuwa sasa yanini kujitowa magazetini kila siku mama. EBU SOUTHAMPTON SOLENT PRODUCT TUPENI DATA tumechoka kubebana kila siku kawasababu ya nanii kuna ndugu yangu alionekana ni forgel alikosa kazi BOT why vikky she is still in.
wengine wanasema ni CHAKULA YA MZEE😀
Tunaomba matokeo yake au hiyo list ya graduates!!!mimi sipo hapo,
yaani munamuongelea mtu ambaye hata moja jumlisha moja hajui; kweli tulikuwa nae uku SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY, mwaka jana alipata bahati yakumaliza ila hakupata bahati ya kupata cheti sababu alifelikwakuwa hakuweza kusoma ni bichwa bule, hata assignment alikuwa anafanyiwa basi ikamkumba zoa zoa. kama ni kweli ana cheti feki sikatai sababu kuna mtanzania yupo IT ni rafiki yake inawezekana kamtengenezea si nembo london ni pound 20 ila kama umnataka uwakika fuatiluia www. solent.ac.uk. au fuatilia facult of Business and Sport na ID yake ni kamav36 ya shule. kweli tanzniammeoza hata sisi tuna iyo habari ila hatukuwa na uwakika, kwa zaidi request graduate list 2009 hata jina lake halikutoka na wazungu hawana typing error kila kitu electronical.
nazani dalali umeelewa kama unataka zaidi uliza nikupe hata post code nchi imeoza
aaaah, hii ndio Tiizii bana, ni zaidi ya tuijuavyo! Things that an old man can see while sitted, a young man can't see even if he climbs up the tree!
Hili nalo Neno
Nakumbuka kule Mlimani wakati fulani kulikuwa na shahada zinaitwa za nguo za chupi, yawezekana hata ajira za aina hii ziko mingi.
Huyu mdada kichwani hamna kitu kabisa. Alisoma certificate course pale Nyegezi (St Augustine University) akitokea huko bush alikokuwa anafundisha shule ya msingi, na baadaye alifanya advanced diploma ya mass communication hapo hapo Nyegezi. Aliibuka wakati wa kampeni za 2005 akiimba imba, na ndipo fataki mmoja maarufu akamnasa. Kwamba alienda kusoma Masters ni ajabu na kweli. Waliosoma naye Nyegezi wanasema kichwani ni mtupu vibaya sana! Kuna tetesi pia kwamba amezaa na huyo fataki kiongozi.
mbona wabongo manapenda kutafuniwa, sinimekupa wesite na all information tafuta bwana si unajuwa kuchezxa na ITTunaomba matokeo yake au hiyo list ya graduates!!!
mbona wabongo manapenda kutafuniwa, sinimekupa wesite na all information tafuta bwana si unajuwa kuchezxa na IT
mimi sipo hapo,
yaani munamuongelea mtu ambaye hata moja jumlisha moja hajui; kweli tulikuwa nae uku SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY, mwaka jana alipata bahati yakumaliza ila hakupata bahati ya kupata cheti sababu alifelikwakuwa hakuweza kusoma ni bichwa bule, hata assignment alikuwa anafanyiwa basi ikamkumba zoa zoa. kama ni kweli ana cheti feki sikatai sababu kuna mtanzania yupo IT ni rafiki yake inawezekana kamtengenezea si nembo london ni pound 20 ila kama umnataka uwakika fuatiluia www. solent.ac.uk. au fuatilia facult of Business and Sport na ID yake ni kamav36 ya shule. kweli tanzniammeoza hata sisi tuna iyo habari ila hatukuwa na uwakika, kwa zaidi request graduate list 2009 hata jina lake halikutoka na wazungu hawana typing error kila kitu electronical.
nazani dalali umeelewa kama unataka zaidi uliza nikupe hata post code nchi imeoza
wengine wanasema ni CHAKULA YA MZEE😀
$h@$%^T ina maana ni mkarimu kiasi hiki? au kesha kanyaga moto ameamua kuwachoma wengine pia?kwa kuondowa uongo alikuwa na wanaume pata 40 uku UK kwa kipindi tuu alichoishi akifungua dimba ni
FIRST
1. E. ngondo
40. J. kiggungu
LAST
I salute you Najma, receive my heart, feel it!! Inadunda furaha fulani hivi. Sasa nataka watu wa media fuel this issue, please, tusaidieni jamani. Kama kule BOT kulikuwa na ile kesi ya vyeti feki, basi na hii iwe kesi. Yule jamaa aliandika kile kitabu cha mafisadi wa elimu naomba atoe issue mpya aweke na jina la Vicky Kamata. Pumbafu kabisa, watoto wetu wanazibiwa nafasi nzuri za kazi na vihiyo.