Uchaguzi 2020 Victor Makinda atangaza nia Udiwani Kata ya Kisawasawa, Kilombero, Morogoro

Uchaguzi 2020 Victor Makinda atangaza nia Udiwani Kata ya Kisawasawa, Kilombero, Morogoro

Mvidunda

Senior Member
Joined
May 30, 2020
Posts
122
Reaction score
170
IMG-20200703-WA0011.jpg
 
Kumekucha
Nione Sasa Mtu Anampiga Aliyevaa Kijani Ataona Cha Mtema Kuni
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Ni mtoto wa Mama Ana Makinda?
 
Kutia nia kunahitaji kuchapisha hayo madude yote? Hizi pesa za kuchezea wanatoa wapi? au hawatumii akili?
 
Kutia nia kunahitaji kuchapisha hayo madude yote? Hizi pesa za kuchezea wanatoa wapi? au hawatumii akili?
Yote sawa...! Hatuwezi jua amejipangaje. Na sidhani kama ni gharama kubwa kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom