Victor Osimhen: Afrika ukifanikiwa basi ndugu na jamaa wanadhani kupewa pesa ni haki yao

Victor Osimhen: Afrika ukifanikiwa basi ndugu na jamaa wanadhani kupewa pesa ni haki yao

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
"Afrika ukifanikiwa basi ndugu na jamaa wanadhani kupewa pesa ni haki yao" Osimhen

🎙Victor Osimhen: "Nilikuwa nikituma pesa rafiki yangu mmoja wa utotoni lakini siku moja aliniambia kuhusu biashara anayotaka kuanzisha na anahitaji msaada wa kifedha. Nilimtumia €5k lakini hakuithamini na hata aliniambia kuwa alisoma kwenye habari kwamba nilikuwa napata euro milioni 1 kila wiki na alitarajia kama € 50k kuanzisha biashara, nilikasirika sana kiasi kwamba nilitaka kurudisha muamala lakini mimi Nisingeweza. Pesa hizo €5k zinaweza kununua viatu vyake Ulaya lakini ni pesa nyingi sana. Hakuna mtu aliyewahi kunitumia hata dola 1 kabla sijaja Ulaya, nilijishughulisha usiku na mchana, niliuza maji ya chupa mitaani.

Euro €5k ni sawa na M 14 za Tz

My take: Pamoja na kuwa kusaidiana na kuinuana ndugu na jamaa lakini msaada sio deni kiasi cha kumchukia anayeshindwa kufanya hivyo kwako.

Wale mnaobahatika kupata chochote kitu kutoka kwa ndugu au jamaa zenu basi muwe na mioyo ya shukrani na mkitumie mlichopata kujiinua.

Haya mambo yapo kwenye familia na koo nyingi za kiafrika.
 
"Afrika ukifanikiwa basi ndugu na jamaa wanadhani kupewa pesa ni haki yao" Osimhen

🎙️🗣️Victor Osimhen: "Nilikuwa nikituma pesa rafiki yangu mmoja wa utotoni lakini siku moja aliniambia kuhusu biashara anayotaka kuanzisha na anahitaji msaada wa kifedha. Nilimtumia €5k lakini hakuithamini na hata aliniambia kuwa alisoma kwenye habari kwamba nilikuwa napata euro milioni 1 kila wiki na alitarajia kama € 50k kuanzisha biashara, nilikasirika sana kiasi kwamba nilitaka kurudisha muamala lakini mimi Nisingeweza. Pesa hizo €5k zinaweza kununua viatu vyake Ulaya lakini ni pesa nyingi sana. Hakuna mtu aliyewahi kunitumia hata dola 1 kabla sijaja Ulaya, nilijishughulisha usiku na mchana, niliuza maji ya chupa mitaani.

Euro €5k ni sawa na M 14 za Tz

My take
Pamoja na kuwa kusaidiana na kuinuana ndugu na jamaa lakini msaada sio deni kiasi cha kumchukia anayeshindwa kufanya hivyo kwako......

Wale mnaobahatika kupata chochote kitu kutoka kwa ndugu au jamaa zenu basi muwe na mioyo ya shukrani na mkitumie mlichopata kujiinua.........

Haya mambo yapo kwenye familia na koo nyingi za kiafrika......
Je, Wamekulazimisha uwape pesa??
 
"Afrika ukifanikiwa basi ndugu na jamaa wanadhani kupewa pesa ni haki yao" Osimhen

🎙Victor Osimhen: "Nilikuwa nikituma pesa rafiki yangu mmoja wa utotoni lakini siku moja aliniambia kuhusu biashara anayotaka kuanzisha na anahitaji msaada wa kifedha. Nilimtumia €5k lakini hakuithamini na hata aliniambia kuwa alisoma kwenye habari kwamba nilikuwa napata euro milioni 1 kila wiki na alitarajia kama € 50k kuanzisha biashara, nilikasirika sana kiasi kwamba nilitaka kurudisha muamala lakini mimi Nisingeweza. Pesa hizo €5k zinaweza kununua viatu vyake Ulaya lakini ni pesa nyingi sana. Hakuna mtu aliyewahi kunitumia hata dola 1 kabla sijaja Ulaya, nilijishughulisha usiku na mchana, niliuza maji ya chupa mitaani.

Euro €5k ni sawa na M 14 za Tz

My take: Pamoja na kuwa kusaidiana na kuinuana ndugu na jamaa lakini msaada sio deni kiasi cha kumchukia anayeshindwa kufanya hivyo kwako.

Wale mnaobahatika kupata chochote kitu kutoka kwa ndugu au jamaa zenu basi muwe na mioyo ya shukrani na mkitumie mlichopata kujiinua.

Haya mambo yapo kwenye familia na koo nyingi za kiafrika.
Ikichanganywa na dini ya kikristo (naitaja hii kwa sababu nyingine sizifahamu) kwamba wasaidie wengine ili upate baraka zaidi ndio wanaona ni amri ya Mungu!!
 
"Afrika ukifanikiwa basi ndugu na jamaa wanadhani kupewa pesa ni haki yao" Osimhen

🎙Victor Osimhen: "Nilikuwa nikituma pesa rafiki yangu mmoja wa utotoni lakini siku moja aliniambia kuhusu biashara anayotaka kuanzisha na anahitaji msaada wa kifedha. Nilimtumia €5k lakini hakuithamini na hata aliniambia kuwa alisoma kwenye habari kwamba nilikuwa napata euro milioni 1 kila wiki na alitarajia kama € 50k kuanzisha biashara, nilikasirika sana kiasi kwamba nilitaka kurudisha muamala lakini mimi Nisingeweza. Pesa hizo €5k zinaweza kununua viatu vyake Ulaya lakini ni pesa nyingi sana. Hakuna mtu aliyewahi kunitumia hata dola 1 kabla sijaja Ulaya, nilijishughulisha usiku na mchana, niliuza maji ya chupa mitaani.

Euro €5k ni sawa na M 14 za Tz

My take: Pamoja na kuwa kusaidiana na kuinuana ndugu na jamaa lakini msaada sio deni kiasi cha kumchukia anayeshindwa kufanya hivyo kwako.

Wale mnaobahatika kupata chochote kitu kutoka kwa ndugu au jamaa zenu basi muwe na mioyo ya shukrani na mkitumie mlichopata kujiinua.

Haya mambo yapo kwenye familia na koo nyingi za kiafrika.
Sio Africa, sema yeye na ndugu zake.
Moja ya ujinga ni kudhani, wachezaji na waimbaji waliofanikiwa ni watu wenye akili.

Wengi wao ni walikuwa vibaka na karibia wote hawana shule na hawajui hata jinsi ya kueleza jambo kisomi. Africa ni kubwa sana na yeye sio msemaji wa bara hili. Azungumzie experience yake na watu wake huko Nigeria.
 
🎶toa ndugu, toa ndugu, ulicho nacho wewe,
BWANA anakuona, mpaka moyoni mwako!
Huu ndio wakati, wa kutoa sadaka,
Kila mtu aanze, kujifikiria!🎶
 
Back
Top Bottom