Vidada vya kituruki vichafu hatari

Wavaa ushungi wa Bara kwakwel wanajitahidi Usafi.. wapo clean
 
Mtoa mada hana UZUSHI. Wanawake wa kizungu ni WACHAFU, hawaogi wala kupiga mswaki mara kwa mara. Nimeshuhudia waliokuja TZ, na ughaibuni, wa Kwa mpalange wako vyema kwa usafi hasa wale MATURE LADIES! 😜😜😜
 
😇🤣
 
njoo taratibu usikinikanyage mkuu....
 
Uchafu ni kipengele sana kwa mwanamke. Yan Ke akiwa mchafu inakera sana. Mimi siuwezi u smart (japo naupenda but pia sio kwamba ni mchafu) ila simuwez mwanamke mchafu.
Mimi nafurah sana kuona smart amependeza.iwe Me au Ke. Huwa nafurah sana.
 
Hahahahahaha kijana hata Uturuki wana River side yao, Uwanja wa fisi wao, kwa sokota yao, Temeke sudani yao.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…