frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Habari, naomba msaada kwa aliyemwelewa mheshimiwa waziri makamba hapa atusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari, naomba msaada kwa aliyemwelewa mheshimiwa waziri makamba hapa atusaidie.
View attachment 2393202
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Usihamishe goli jibu hoja iliyoulizwa.Makamba had a bright future ila tangu atengeneze zengwe ili awahi uwaziri wa nishati amejiondolea kabisa heshima yake.
Uzuri watu sasa wameshajua rangi zake za ukweli. Awamu ya 5 ilisaidia kutambua viongozi na wapenda madaraka.Makamba had a bright future ila tangu atengeneze zengwe ili awahi uwaziri wa nishati amejiondolea kabisa heshima yake.
Mkuu hebu jaribu kumlekebisha wazir hapoWabongo wengi ni wazuri mno katika kulalamika, kukandia, kudharau, kulaumu wengine, kukosoa na pia kuonyesha mapungufu ya watu wengine, lakini ni wagumu mno kutoa ushauri kuhusu njia mbadala ya nini hasa kipate kifanyika, ili kurekebisha makosa au mapungufu.
Nacheka kimoyomoyoNa anavoringa sasa! Bado nahesabu vijiti nikimaliza hesabu ya kutoa kitaleta jawabu badae!