njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ni pambano la jana nafikiri na bondia wa Eastern Europe huko, jamani boxing ni mchezo wa kihuni sana, ona hiyo knock out ilivyolazimishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nime i re upload ilikuwa locked imebidi niifanyie video capturingHatuioni
Hamn tko ya hivyoHamna uhuni hapo hyo Tko ya halali kabisa
Ni pambano la jana nafikiri na bondia wa Eastern Europe huko, jamani boxing ni mchezo wa kihuni sana, ona hiyo knock out ilivyolazimishwa.
View attachment 1815936
Itoshe kusema refa ni msengerema kutoka makunduchi karibu na mchamba wimaNi pambano la jana nafikiri na bondia wa Eastern Europe huko, jamani boxing ni mchezo wa kihuni sana, ona hiyo knock out ilivyolazimishwa.
View attachment 1815936
Ww unaona kabisa anashindwa kujidefend ulitaka mpk afie hpo ulingon ndo ijulikane ndo kapigwaHamn tko ya hivyo