Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lafudhi siyo ila jamaa anakijua tena very fluent.Moja kwa moja..
Nimecheki hii video nimeamini huyu jamaa ni jeuri sana halafu anajiamini .Ila lafudhi ya kingereza chake hata akisimamishwa na mimi niliyesoma pangu pakavu tia mchuzi mimi nitaonekana nimesoma IST au muingereza kabisa .View attachment 2511372
Acha kudanganyika na vimajibu vyake anavyowajibu hao wamagharibi. Hii ni njia anayotumia kuihadaa dunia ili isiamini wala kufikiria kuwa yeye anasapotiwa na nchi za magharibi. Wazungu wanaweza kuonesha chuki dhidi ya nchi au kundi fulani la kihalifu ili kuihadaa dunia iamini kwamba kinachofanyika kinawachukiza watu wengi wekiwepo wazungu wenyewe kumbe nyuma ya pazia wazungu hao hao ndio walioisapoti nchi hiyo au kundi hilo kwa kulipatia silaha nk.Moja kwa moja..
Nimecheki hii video nimeamini huyu jamaa ni jeuri sana halafu anajiamini .Ila lafudhi ya kingereza chake hata akisimamishwa na mimi niliyesoma pangu pakavu tia mchuzi mimi nitaonekana nimesoma IST au muingereza kabisa .View attachment 2511372
Si tulikubaliana kuwa yeyote hapa TZ asiyejua kuongea kiingereza fluently si msomi?Acha kujifanya Mwingereza mweusi..
Sasa lafudhi ikishakuwa kama ya UK unafaidika na nini?.
Pamoja na Ndalichako umemsahau .Si tulikubaliana kuwa yeyote hapa TZ asiyejua kuongea kiingereza fluently si msomi?
Ndiyomaana mlimdhihaki yule Mzee Baba kwa kumuita Intaprinywaa?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
mdh jere was kk dMoja kwa moja..
Nimecheki hii video nimeamini huyu jamaa ni jeuri sana halafu anajiamini .Ila lafudhi ya kingereza chake hata akisimamishwa na mimi niliyesoma pangu pakavu tia mchuzi mimi nitaonekana nimesoma IST au muingereza kabisa .View attachment 2511372