Huyu bahati anaimba kote kote halafu ni kati ya wasanii wanaoongoza kwa mauzo ya nyimbo kenya ila mimi sijawahi kumuelewa hata kidogoHuyu bahati si anaimbaga gospel music imekuwaje tena bongo fleva??
Anauzia wapi? Online?Huyu bahati anaimba kote kote halafu ni kati ya wasanii wanaoongoza kwa mauzo ya nyimbo kenya ila mimi sijawahi kumuelewa hata kidogo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Habari ya mujini nandy hao wengine wasubiri kwanza
YesAnauzia wapi? Online?
Kwangwaru teh teh teh tehInama inama uonesha tunalengaje!...mwili wangu makuti usije na kiberiti!
Hapana bwana, na uzee wangu huu kwa mara ya kwanza nimepwnda wimbo wa WCB!
Eti basi jilekeze nikubebe mgongoni!....kisha uniongeze ulivyofunzwa unyagoni!
Hawa watoto balaa!
Mbaya zaidi hakuna sarakasi, wanacheza vizuri sana kwa taratibu kufata mapigo ya wimbo!
Hongereni sana vijana wetu.