Usijifanye mjuaji, hilo lipo duniani kote. Kwani inakukera nini?Hivi hizi nyimbo za bongo lazima utaje studio uliorekodia kwenye wimbo? kwani mkataba si kupeana pesa wanakufanyia kazi? mbona nyimbo za bongo sioni hii kitu?
rudia tena kusoma ulichokiandikaHivi hizi nyimbo za bongo lazima utaje studio uliorekodia kwenye wimbo? kwani mkataba si kupeana pesa wanakufanyia kazi? mbona nyimbo za bongo sioni hii kitu?
Mashairi,ujumbe,melody,swaga,mavazi,location zilezile creativity 0% he need to change kwa kweli....Natamba is the best than this...that's all.Huu wimbo nimeuangalia mara mbili mbili ameutendea haki na sauti ameitoa kama inavyotakiwa kama ingekua ni American Got Talent basi ningembonyezea GOLDEN BUZZER. Appreciate you Kijana
Poti uimbaji unaendana na hisia..dogo ameporwa au ameachwa na mpenzi wake.Wakati anaimba natamba walikuwa wote kwenye kilele cha mapenzi, nyimbo zinazofuata ni malalamiko na kujuta..hebu fuatilia utaniambia.Mashairi,ujumbe,melody,swaga,mavazi,location zilezile creativity 0% he need to change kwa kweli....Natamba is the best than this...that's all.
Wewe ndiye prodyuza wake?Poti uimbaji unaendana na hisia..dogo ameporwa au ameachwa na mpenzi wake.Wakati anaimba natamba walikuwa wote kwenye kilele cha mapenzi, nyimbo zinazofuata ni malalamiko na kujuta..hebu fuatilia utaniambia.