Nukta5 JF-Expert Member Joined Jun 7, 2014 Posts 1,182 Reaction score 1,288 Nov 3, 2018 Thread starter #21 Kijana Mungu anazidi kukuona tu, ona mapokezi aliyopata nchi jirani Kenya naona anafuata nyayo za almas Attachments 1b3aa20a825480dfb9ec2999e01a7b66.mp4 1b3aa20a825480dfb9ec2999e01a7b66.mp4 6.6 MB · Views: 21
Kijana Mungu anazidi kukuona tu, ona mapokezi aliyopata nchi jirani Kenya naona anafuata nyayo za almas
maroon7 JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 11,311 Reaction score 15,640 Nov 3, 2018 #22 Tatizo naonaga kama anatoaga manyimbo yanafanana kuanzia mabiti hadi kulalamika... Atoage hata club banger moja
Tatizo naonaga kama anatoaga manyimbo yanafanana kuanzia mabiti hadi kulalamika... Atoage hata club banger moja
maroon7 JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 11,311 Reaction score 15,640 Nov 3, 2018 #23 Nukta5 said: Kijana Mungu anazidi kukuona tu, ona mapokezi aliyopata nchi jirani Kenya naona anafuata nyayo za almas Click to expand... Nilidhani Nairobi... Why wampeleke Kenya kijijini
Nukta5 said: Kijana Mungu anazidi kukuona tu, ona mapokezi aliyopata nchi jirani Kenya naona anafuata nyayo za almas Click to expand... Nilidhani Nairobi... Why wampeleke Kenya kijijini
squirtinator JF-Expert Member Joined Sep 20, 2015 Posts 2,765 Reaction score 4,182 Nov 3, 2018 #24 Nukta5 said: Huu wimbo nimeuangalia mara mbili mbili ameutendea haki na sauti ameitoa kama inavyotakiwa kama ingekua ni American Got Talent basi ningembonyezea GOLDEN BUZZER. Appreciate you Kijana Click to expand... Sioni kipya, very monotonous!
Nukta5 said: Huu wimbo nimeuangalia mara mbili mbili ameutendea haki na sauti ameitoa kama inavyotakiwa kama ingekua ni American Got Talent basi ningembonyezea GOLDEN BUZZER. Appreciate you Kijana Click to expand... Sioni kipya, very monotonous!