Video: Aweka Rekodi mpya ya Riadha, Afisa asimamishwa kazi

Video: Aweka Rekodi mpya ya Riadha, Afisa asimamishwa kazi

Nkaburu

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2023
Posts
1,638
Reaction score
1,961
Somalia imemsimamisha kazi afisa wa ngazi ya juu wa riadha baada ya mmoja wa wanariadha wake kuweka rekodi mpya ya mbio za mita 100 - ambayo ni ya polepole zaidi kuwahi kutokea katika mashindano ya kimataifa.

Mwanariadha huyo Nasra Ali Abukar, alikimbia na alivuka mstari wa kumaliza kwa sekunde 21.81, karibu sekunde 10 nyuma ya mshindi.

Source: Aljazeera.com

=====
Wizara ya Michezo ya Somalia imemfuta kazi Bi. Khadija Aden (pichani chini) ambaye ni bosi wa Shirikisho la Riadha nchini humo baada ya kubaini kuwa Nasra Abukar Ali (20), ambaye aliiwakilisha nchi kwenye mashindano ya FISUGames nchini China hakuwa mwanariadha wa kulipwa wala mwanafunzi wa chuo kikuu.

Nasra ambaye alipewa nafasi kwa kuwa ni ndugu wa bosi huyo, alimaliza mbio za mita 100 kwa sekunde 21, huku mitandaoni nchini china akitajwa kuwa ni “mwanariadha mbovu zaidi” katika mashindano hayo.
 
Linakula tambi tu zito kama kifaru[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asavali Wasomali wameshiriki na kuweka Rekodi!

Sisi Watanzania tunaweka Rekodi za kuwa na Viongozi mara tatu zaidi ya Washiriki katika mashindano kama hayo.

Tumevimbiana vitumbua kama hippopotamus😆😆
Nacheka kama mazuri! Aloo
 
Somalia imemsimamisha kazi afisa wa ngazi ya juu wa riadha baada ya mmoja wa wanariadha wake kuweka rekodi mpya ya mbio za mita 100 - ambayo ni ya polepole zaidi kuwahi kutokea katika mashindano ya kimataifa.

Mwanariadha huyo Nasra Ali Abukar, alikimbia na alivuka mstari wa kumaliza kwa sekunde 21.81, karibu sekunde 10 nyuma ya mshindi.

Source: Aljazeera.com

=====
Wizara ya Michezo ya Somalia imemfuta kazi Bi. Khadija Aden (pichani chini) ambaye ni bosi wa Shirikisho la Riadha nchini humo baada ya kubaini kuwa Nasra Abukar Ali (20), ambaye aliiwakilisha nchi kwenye mashindano ya FISUGames nchini China hakuwa mwanariadha wa kulipwa wala mwanafunzi wa chuo kikuu.

Nasra ambaye alipewa nafasi kwa kuwa ni ndugu wa bosi huyo, alimaliza mbio za mita 100 kwa sekunde 21, huku mitandaoni nchini china akitajwa kuwa ni “mwanariadha mbovu zaidi” katika mashindano hayo.
Hahaaa
 
Somalia imemsimamisha kazi afisa wa ngazi ya juu wa riadha baada ya mmoja wa wanariadha wake kuweka rekodi mpya ya mbio za mita 100 - ambayo ni ya polepole zaidi kuwahi kutokea katika mashindano ya kimataifa.

Mwanariadha huyo Nasra Ali Abukar, alikimbia na alivuka mstari wa kumaliza kwa sekunde 21.81, karibu sekunde 10 nyuma ya mshindi.

Source: Aljazeera.com

=====
Wizara ya Michezo ya Somalia imemfuta kazi Bi. Khadija Aden (pichani chini) ambaye ni bosi wa Shirikisho la Riadha nchini humo baada ya kubaini kuwa Nasra Abukar Ali (20), ambaye aliiwakilisha nchi kwenye mashindano ya FISUGames nchini China hakuwa mwanariadha wa kulipwa wala mwanafunzi wa chuo kikuu.

Nasra ambaye alipewa nafasi kwa kuwa ni ndugu wa bosi huyo, alimaliza mbio za mita 100 kwa sekunde 21, huku mitandaoni nchini china akitajwa kuwa ni “mwanariadha mbovu zaidi” katika mashindano hayo.
😂😂😂😂😂
 
Hao waandaaji wa hizo mbio wako local sana yaani very local ...league zote kama diamond etc, Olympic, common wealth games etc na mashindano yote ya ndani ya riadha lazima umeet standards za kimataifa za kuqualify na hiyo chart ipo clear..kuna wakati wanariadhaa Tanzania walistruggle kupata hizo chance but walishindwa....na kupata hizo chance lazima upimwe before ktk mbio za ndani zingine zinazokubalika kama umeet standards..why huyo kapanda ndege hadi China wakati hajameet standards?
 
Hadi Somalia wametushinda kupeleka mwanariadha?vyuo vyetu havina mashindano ya michezo?
 
Mi pia nilicheka sana aisee. Waafrica sisi ni shida. Alisherehekea mafanikio yake.
Nimempa maua yake pamoja na mapungufu yake. Natumaini hiyo result na 20 second fame yake itakuwa ni kichocheo. Alijituma kweli.
 
Somalia imemsimamisha kazi afisa wa ngazi ya juu wa riadha baada ya mmoja wa wanariadha wake kuweka rekodi mpya ya mbio za mita 100 - ambayo ni ya polepole zaidi kuwahi kutokea katika mashindano ya kimataifa.

Mwanariadha huyo Nasra Ali Abukar, alikimbia na alivuka mstari wa kumaliza kwa sekunde 21.81, karibu sekunde 10 nyuma ya mshindi.

Source: Aljazeera.com

=====
Wizara ya Michezo ya Somalia imemfuta kazi Bi. Khadija Aden (pichani chini) ambaye ni bosi wa Shirikisho la Riadha nchini humo baada ya kubaini kuwa Nasra Abukar Ali (20), ambaye aliiwakilisha nchi kwenye mashindano ya FISUGames nchini China hakuwa mwanariadha wa kulipwa wala mwanafunzi wa chuo kikuu.

Nasra ambaye alipewa nafasi kwa kuwa ni ndugu wa bosi huyo, alimaliza mbio za mita 100 kwa sekunde 21, huku mitandaoni nchini china akitajwa kuwa ni “mwanariadha mbovu zaidi” katika mashindano hayo.
Fursa..
 
Inawezekana ufaulu wetu na ushiriki wetu huko, ungetufanya aende Waziri au Naibu Waziri
wa Michezo kama kiongozi wa Riadha.
Bora hao wasomali, itoshe, ameweka rekodi.
Lazima wangepeleka tumbo, sasa kama mtu anaenda Cuba wategemea nn
 
Back
Top Bottom