Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesema kwelikavaa kiislamu kama kawaida ya waislamu wa elite wa tz, wakibanwa ndo wanawarudia wakarirri Kurani wawatete, mambo yakiwa sawa, ni full suit za kizungu …
Inavyo semekana gari wame kimbia nalo mnataka aje kwa miguu 😄Mwenzake Nape hakutikea kukabidhi ikabidi katibu mkuu nfo akabidhi
Si angepanda bajajiInavyo semekana gari wame kimbia nalo mnataka aje kwa miguu 😄
Ndiyo mkiwa mnaambiwa hana Akili msiwe mnabisha.Mwenzake Nape hakutikea kukabidhi ikabidi katibu mkuu nfo akabidhi
Labda wa Kwao Kijijini Bumbuli, ila siyo kwa Tanzania ambayo nami GENTAMYCINE ni Raia Tukuka kabisa wa hiyo Nchi.hiki kijamaa na chenyewe kikijiangalia kinajiona kinafaa kabisa kuwa rais wa nchi
Mkiambiwa Dogo ana Dharau sana na hafai msiwe mnabisha.Ndio ameingia kukabidhi ofisi na kanzu???
Vitasa vya mlango vilibadilishwaMwenzake Nape hakutikea kukabidhi ikabidi katibu mkuu nfo akabidhi
Hii ni hard truth kaka, isitoshe kusema waislam walala hoi hawalioni wala hawashtuki vile ma elite wanavyo wachorakavaa kiislamu kama kawaida ya waislamu wa ma-elite wa tz, wakibanwa ndo wanawarudia waislamu walalahoi wakarirri Kurani wawatete, mambo yakiwa sawa, ni full suit za kizungu, pure evil …