Pre GE2025 Video: Baba Levo amsisitiza Vunja bei aache uoga akagombee ubunge 2025

Pre GE2025 Video: Baba Levo amsisitiza Vunja bei aache uoga akagombee ubunge 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Wakiwa katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM msanii maarufu Baba Levo akiwa na mfanyabiashara mkubwa Tanzania Fred Vunjabei Babalevo amemtaka mfanyabiashara huyo kuacha uoga kutaka kugombea kiti cha ubunge katika uchaguzi wa mwaka 2025.



 
Wakiwa katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM msanii maarufu Baba Levo akiwa na mfanyabiashara mkubwa Tanzania Fred Vunjabei Babalevo amemtaka mfanyabiashara huyo kuacha uoga kutaka kugombea kiti cha ubunge katika uchaguzi wa mwaka 2025.

View attachment 3207349

View attachment 3207356
Akigombea Ubunge, lazima ROI ya biashara yake itashuka; na Ubunge hauwezi kumlipa kama inavyomlipa biashara yake
Kama ni kwa ajili ya kutafuta umaarufu wa kisiasa sawa ila bisahara yake inalipa zaidi kuliko Ubunge
 
Wanataka wakamlie hela zake tu, haina haja ya kujitia mastress yasiyo maana huko siasani, akomae na Bussness zake tu.
 
Back
Top Bottom